Envaya

large.jpg

Mkurugenzi wa Africa Upendo group akiwa anasikiliza kwa makini vijana wakiwa katika mafunzo ya Ulinzi Salama katika Mtaa wa Makuburi -Kibangu.Aliyevaa tisheti ya kijani aliweza kuwakamata majambazi waliopora fedha kule buguruni zaidi ya milioni 28.Anaitwa Miraji Ramadhani Rashid.

August 26, 2013
« Previous Next »

Add a comment

Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.