Base (Swahili) |
English |
Baadhi ya watu wanaoishi na VVUna UKIMWI katika kata ya Bukanda (W)Ukerewe wakimsubiri mgeni rasimi kwa ajili ya kufungua rasimi ugawaji wa unga wa rishe na madawa yanayozuia magojwa nyemelezikwa watu waishio na VVU na UKIMWI tarehe 02/01/2011 ambao ulitolewa na shirika la Mzeituni Foundationi chini ya ufadhiri uliotolewa na Halmashauri ya (W) Ukerewe.

Mfanyakazi wa shirika la MzeituniFoundation Bw.Juma Ally Msumi akitoa msaada wa unga wa rishe watu wanaoishi na VVU na Ukimwi kupitia mradi ulio fadhiriwa na Halmashauri ya (W)Ukerewe
|
Some people living with AIDS in the county of VVUna Bukanda (W) Ukerewe they waited for the official visitor officially open the distribution of the powdered drug inhabit and restricting disease nyemelezikwa people living with HIV and AIDS on 02.01.2011 which was produced by the agency olive Foundationi under ufadhiri granted by the Board of (W) Ukerewe.

Agency worker MzeituniFoundation Bw.Juma Ally Sumi providing assistance to young people to inhabit living with HIV and AIDS through a project and Council fadhiriwa (W) Ukerewe
|