Base (Swahili) |
English |
Baadhi ya watu wanaoishi na VVUna UKIMWI katika kata ya Bukanda (W)Ukerewe wakimsubiri mgeni rasimi kwa ajili ya kufungua rasimi ugawaji wa unga wa rishe na madawa yanayozuia magojwa nyemelezikwa watu waishio na VVU na UKIMWI tarehe 02/01/2011 ambao ulitolewa na shirika la Mzeituni Foundationi chini ya ufadhiri uliotolewa na Halmashauri ya (W) Ukerewe.

Mfanyakazi wa shirika la MzeituniFoundation Bw.Juma Ally Msumi akitoa msaada wa unga wa rishe watu wanaoishi na VVU na Ukimwi kupitia mradi ulio fadhiriwa na Halmashauri ya (W)Ukerewe
|
Some people living with AIDS in the county VVUna Bukanda (W) Ukerewe classical stranger waiting for the opening classical inhabit the distribution of flour and restricting drug disease nyemelezikwa people living with HIV and AIDS on 02.01.2011 which was issued by the organization olive Foundationi under ufadhiri given by the Council (W) Ukerewe.

Employee organization MzeituniFoundation Bw.Juma Ally Sumi giving support to inhabit young people living with HIV and AIDS through a project and fadhiriwa Council (W) Ukerewe
|