Base (Igiswayire) | Kinyarwanda |
---|---|
1. Kuwaendeleza washairi kiutunzi na maslahi ya kazi zao. 2. Kukikuza, kuendeleza na kukitunza kiswahili ndani na nje ya Tanzania. 3. Kulinda na kutunza utamaduni wa mswahili, aidha mila na silka zetu. 4. Kuendesha na kuunga mkono kampeni zote za kitaifa na kimataifa. 5. Kampeni maalum za kulinda maadili ya mswahili, wanawake, watoto, haki za kibinaadam, na unyanyasaji wowote wa kijinsia. |
(Not translated) |
Kugirango ugire icyo uhindura kubyo wasemuye, ugomba kwinjira mu rubuga Injira · Iyandikishe