UTAMBULISHO – Chama cha Wazazi wa Watoto wenye Ulemavu wa Mtindio wa Ubongo, Akili na Viungo Tanzania (CHAWAUMAVITA) ni chama kilichoanzishwa mwezi Aprili 2012,Tumefanikiwa kupata usajili mwezi april 2013 namba S.A 18732. – Tunaamini-“Umoja daima ndio suluhisho kwa changamoto” – Dira ya CHAWAUMAVITA ni kuwa CHAMA cha mfano kitachochangia... | (Bila tafsiri) | Hariri |