Asili ((unknown language)) | Kiswahili |
---|---|
UTAMBULISHO Chama cha Wazazi wa Watoto wenye Ulemavu wa Mtindio wa Ubongo, Akili na Viungo Tanzania (CHAWAUMAVITA) ni chama kilichoanzishwa mwezi Aprili 2012,Tumefanikiwa kupata usajili mwezi april 2013 namba S.A 18732. Tunaamini-“Umoja daima ndio suluhisho kwa changamoto” Dira ya CHAWAUMAVITA ni kuwa CHAMA cha mfano kitachochangia upatikanaji wa huduma bora na endelevu kwa watoto wenye Ulemavu wa Mtindio wa Ubongo, akili na Viungo Tanzania ili kuhakikisha watoto wenye Ulemavu wa Mtindio wa Ubongo, akili na Viungo wanasaidiwa kukabiliana na changamoto zilizopo na kuandaa mazingira bora ya makuzi na maisha yao kwa ujumla Malengo ya CHAWAUMAVITA ni
Tunatanguliza shukrani zetu za dhati kwako.Pamoja na salaam, zetu za “Kwa pamoja tukishikamana tutashinda” |
(Bila tafsiri) |
Ili kuhariri tafsiri, lazima ufungue. Fungua · Jiandikishe