Kuhusu
Peleleza
Tafuta
Jitolee
Mabadiliko
English
Kiswahili
Kinyarwanda
Fungua
/takuuki/post/3127
: Kiswahili
Asili
Kiswahili
Napenda kuchukua nafasi hii kukushukuru ndugu Mussa P.M Kamtade kwa maoni mazuri aliotujulisha kwenye Taasisi ya kupambana na UKIMWI Kitangari na tayari yameanza kufanyiwa kazi. Kwa mfano waviu waliopo kata ya Malatu wameanzisha kufuga mbuzi ili kupata nyama, na wale waviu ambao walikuwa wanaendekeza ngono isiyo salama wameanza kuacha tabia hiyo chafu. – Jambo waliloomba waviu ni kwamba jamii iache kuwanyanyapaa ili kuwawezesha kujisikia vizuri na huru.
(Bila tafsiri)
Hariri
KIKAO cha Kikundi cha Waishio na Vrusi vya UKIMWI na Mkurugenzi wa Taasisi ya kupambana na UKIMWI Kitangari chaleta changamoto. – Kikao hicho kilichofanyika tarehe 20 Agosti,2010 katika ukumbi wa kituo cha Afya Kitangari chini ya mlezi wake Ndg.Florence Mnipa, kimeeleza changamoto mbalimbali wanazokumbana nazo wana mtandao hao. – Kubwa kabisa ni pale walipomwelekeza Mkurugenzi wa Taasisi ya kupambana na Ukimwi Kitangari kwamba jamii...
(Bila tafsiri)
Hariri