Log in

/takuuki/post/3127: English

BaseEnglish
Napenda kuchukua nafasi hii kukushukuru ndugu Mussa P.M Kamtade kwa maoni mazuri aliotujulisha kwenye Taasisi ya kupambana na UKIMWI Kitangari na tayari yameanza kufanyiwa kazi. Kwa mfano waviu waliopo kata ya Malatu wameanzisha kufuga mbuzi ili kupata nyama, na wale waviu ambao walikuwa wanaendekeza ngono isiyo salama wameanza kuacha tabia hiyo chafu. – Jambo waliloomba waviu ni kwamba jamii iache kuwanyanyapaa ili kuwawezesha kujisikia vizuri na huru.Let me take this opportunity kukushukuru brother Mussa PM Kamtade for positive comments he otujulisha the AIDS Institute Kitangari already begun to be worked on. For example waviu present county of Malatu have started raising goats in order to get meat, and those who were waviu adapted unprotected sex have begun to drop the dirty habit. – Thing they ask is that waviu kuwanyanyapaa leave the community to enable them to feel comfortable and free.Edit
KIKAO cha Kikundi cha Waishio na Vrusi vya UKIMWI na Mkurugenzi wa Taasisi ya kupambana na UKIMWI Kitangari chaleta changamoto. – Kikao hicho kilichofanyika tarehe 20 Agosti,2010 katika ukumbi wa kituo cha Afya Kitangari chini ya mlezi wake Ndg.Florence Mnipa, kimeeleza changamoto mbalimbali wanazokumbana nazo wana mtandao hao. – Kubwa kabisa ni pale walipomwelekeza Mkurugenzi wa Taasisi ya kupambana na Ukimwi Kitangari kwamba jamii...Group Session Vrusi living with HIV and Director of the Institute for AIDS Kitangari brings challenges. – The meeting was held on August 20, 2010 in Hall Health Centre under the guardian Kitangari Ndg.Florence me, kimeeleza challenges they experience and they have the internet. – Is quite large when they pomwelekeza Director of the Institute of fighting AIDS Kitangari inawanyanyapaa society around them. – Director wanted to...Edit