Asili (Kiswahili) | Kiswahili |
---|---|
TANGAZO LA NAFASI ZA MASOMO YA USHONAJI KWA WATU WENYE KIPATO KIDOGO Tanzania Single Mothers and Youth Development Trust (TASMOYODET) kupitia kitengo cha mafunzo ya ujasilia-mali inatangaza nafasi za masomo ya ushonaji kwa miezi sita:
USAJILI: Usajili unaendelea kila siku kwenye ofisi za shirika zilizopo nyuma ya kanisa la RC-Makuburi Dar Es Salaam saa 2:00 asubuhi hadi saa 7:00 mchana. Gharama za FOMU ni shilingi 5000/=.Shukia External au Garage baada ya hapo ulizia kanisa la RC Makuburi ambapo ofisi zipo nyuma ya kanisa hilo. Karibuni sana. 0717-292843/0756-451550
Kwa maelezo zaidi piga simu numba: 0717-292843/0752-498579 |
(Bila tafsiri) |
Ili kuhariri tafsiri, lazima ufungue. Fungua · Jiandikishe