Parts of this page are in Swahili. Edit translations
TANGAZO LA NAFASI ZA MASOMO YA USHONAJI KWA WATU WENYE KIPATO KIDOGO
Tanzania Single Mothers and Youth Development Trust (TASMOYODET) kupitia kitengo cha mafunzo ya ujasilia-mali inatangaza nafasi za masomo ya ushonaji kwa miezi sita:
- Masomo haya yatatolewa bure kwa familia zenye kipato kidogo hasa wasichana wanaofanya kazi majumbani(House girls) na wanawake wasiojiweza.
USAJILI: Usajili unaendelea kila siku kwenye ofisi za shirika zilizopo nyuma ya kanisa la RC-Makuburi Dar Es Salaam saa 2:00 asubuhi hadi saa 7:00 mchana. Gharama za FOMU ni shilingi 5000/=.Shukia External au Garage baada ya hapo ulizia kanisa la RC Makuburi ambapo ofisi zipo nyuma ya kanisa hilo.
Karibuni sana. 0717-292843/0756-451550
Kwa maelezo zaidi piga simu numba: 0717-292843/0752-498579
August 7, 2012