Log in

/tasja/post/14: English: WItti3J5vu7kWu7Zrs8eb082:content

« Previous   ·   Next »
Base (Swahili) English

Iran kushirikiana na Tanzania katika sekta ya Sayansi

Elizabeth Mlay (kulia kwa waziri ) mwanafunzi wa kidato cha sita kutoka shule ya Sekondari Jangwani iliyopo jijini Dar es Salaam akimuelezea Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Prof. Makame Mbarawa (kushoto) jinsi ya kutengeneza dawa ya kusafishia na kuondoa harufu chooni. Waziri Prof. Makame alikuwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa sherehe za mwaka wa kimataifa wa kemia zilizoandaliwa na Chama cha wakemia Tanzania kwa kushirikiana na Kamisheni ya Taifa ya UNESCO uliofanyika leo jijini Dar es Salaam katika ukumbi wa Diamond Jubilee.

Dk. Mohammad Baqer Khorramshad

Na Mwandishi Wetu

MKUU wa Shirika la Iran la Utamaduni na Uhusiano wa Kiislamu ICRO amesema ustawi wa kipekee wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika uga wa kisayansi ni mfano mzuri wa kuigwa na nchi za Kiafrika.

Dk. Mohammad Baqer Khorramshad alisema hayo hivi karibuni jijini Dar es Salaam alipokutana na Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Tanzania Profesa Makame Mbarawa,

Alisema ustawi wa kasi wa Iran katika uga wa sayansi na teknolojia ni natija ya juhudi na ubunifu wa wasomi na wanasayansi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

Aidha amesisitiza kuhusu azma ya ICRO ya kuimarisha uhusiano na Tanzania na kuongeza kuwa shirika hilo litatoa msaada wa masomo kwa wanafunzi 7 wa Tanzania bara na watatu kutoka Zanzibar.

Khorramshad aidha ameashiria uwezo wa Iran katika sekta kama vile utamaduni wa Kiislamu, ustaarabu, nano teknolojia, mawasiliano ya satalaiti na kilimo na kusema Iran iko tayari kubadilishana uzoefu wake huo na Tanzania.

Kwa upande wake Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Tanzania Profesa Makame Mbarawa amesisitiza azma ya nchi yake ya kuimarisha uhusiano wa kiutamaduni na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

Alisema kwa kuzingatia mahitajio mengi ya Tanzania katika sekta mbali mbali, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inaweza kuwa chanzo kizuri cha kupata uwezo wa kisayansi.

 

Iran to cooperate with Tanzania in sectors of Sciences

Elizabeth Mlay (right to minister) of Form Six student from Desert existing secondary school in Dar es Salaam he described the Minister of Communications, Science and Technology Prof. Makame Barawa (left) how to make a drug refinery and toilet deodorant. Minister Prof. Makame was a special guest at the opening ceremony of the international year of chemistry organized by the Association of Chemists Tanzania in collaboration with the National Commission for UNESCO held in Dar es Salaam today at the Diamond Jubilee Hall.

Dr. Mohammad Baqer Khorramshad

By Our Reporter

HEAD Agency Iran's Culture and Islamic Relations said ICRO unique welfare of the Islamic Republic of Iran in the field of science is a good role model to African countries.

Dr. Mohammad Baqer Khorramshad said it recently in Dar es Salaam when he met with the Minister of Communications, Science and Technology Professor Makame Barawa Tanzania,

He said the rapid development of Iran in the field of science and technology is beneficial result of the efforts and creativity of scholars and scientists of the Islamic Republic of Iran.

He has emphasized the intention to establish a relationship with ICRO Tanzania, adding that the agency will provide scholarships for students 7 of Tanzania mainland and Zanzibar three.

Khorramshad either pointed capable of Iran in sectors such as Islamic culture, civilization, nano technology, satellite communications and agriculture, and said Iran is ready to share its experience it and Tanzania.

For his part the Minister of Communications, Science and Technology Professor Makame Barawa Tanzania has stressed his country's commitment to strengthen cultural relations with the Islamic Republic of Iran.

He said based on the needs plenty of Tanzania in various sectors, Islamic Republic of Iran can be a good source of earning capacity scientific.


In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
January 19, 2013
Iran to cooperate with Tanzania in sectors of Sciences – (image) – Elizabeth Mlay (right to minister) of Form Six student from Desert existing secondary school in Dar es Salaam he described the Minister of Communications, Science and Technology Prof. Makame Barawa (left) how to make a drug refinery and toilet deodorant. Minister Prof. Makame was a special guest at the opening ceremony of the international year of chemistry...