Log in

/SHIMMAKUTA/post/62853: English: WI0008CD902D5F4000062853:content

« Previous   ·   Next »
Base (Swahili) English

Na Godwin Msalichuma,

Newala, Mtwara

Septemba 29, 2011

JAMII katika Wilaya ya Newala wametakiwa kuanzisha madarasa ya elimu ya watu wazima ili kuondokana na tatizo la ujinga na umaskini uliokothiri haswa kipindi hiki Tanzania inavyoadhimisha miaka hamsini ya uhuru.

Hayo yalisemwa hivi karibuni na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya hiyo Bw. Chitwanga Ndembo katika maadhimisho ya juma la elimu ya watu wazima yaliyofanyika kiwilaya katika kijiji cha Mkunya  ambayo yaliandaliwa na asasi isiyokuwa ya kiserikali ya Umoja wa maendeleo ya elimu Newala (NEDA).

“ Wananchi mliyekuja hapa ni mabalozi wa wengine ambao hawakuja ninaagiza kuwa anzisheni madarasa ya elimu ya watu wazima katika maeneo yenu mnayoishi na hiyo ndiyo ujumbe wetu katika kipindi hiki cha maadhimisho ya miaka hamsini ya uhuru wa taifa letu…….anzisheni na hamasisheni watu wajiunge na kunufaika na madarasa hayo” alisema Bw. Ndembo.

Alisema kuwa jamii inapaswa kuelimika zaidi kipindi hiki kwani hata Halmashauri yake imeshajipanga kuanzisha Benki ya maendeleo ya watu wa Newala hivyo basi kunahitajika wananchi angalau walioelimika ili wafungue ankaunti pamoja na kuwa na hisa katika taasisi hiyo ya fedha itakayofunguliwa.

Aidha aliwaomba jamii hiyo kuchangamkia masuala ya elimu ya watu wazima kwani kutawafanya wajue umuhimu wa elimu na kuhamasika kuchangia maendeleo ya elimu ya watoto wao kama vile nyumba za walimu, madarasa na madawati.

“ Mzazi unapoelimika inakusaidia hata wewe mwenyewe kuwa makini katika kuchangia elimu ya watoto ulionao……isitoshe hata masuala ya ukulima wa kisasa wa zao letu kuu la korosho litazingatiwa hivyo kupata mazao bora na kipato cha kutosha kuendeleza afya na elimu ya familia yako” alisema Mwenyekiti huyo.

And Godwin Msalichuma,

Newala, Mtwara

Sept. 29, 2011

COMMUNITY District in Newala have to start classes in adult education to alleviate the problem of illiteracy and poverty, especially this time okothiri Tanzania inavyoadhimisha fifty years of independence.

That was written recently by the Chairman of the District Council that Mr. Ndembo hit in the weekly celebration of adult education held in the village of Mkunya district which have been organized by local non-governmental United education Newala (Eda).

"People have yekuja here are ambassadors of others who do not come, I directed that anzisheni classes in adult education in areas of you live and that is our message during this celebration of fifty years of independence of our nation ... .... Anzisheni and not asisheni people join benefit from these classes, "said Mr. Ndembo.

He said that society should learn more this time because even though it imeshajipanga Council establishing a development bank of Newala thus requires at least educated citizens to Release ankaunti together and have a stake in the financial institution itakayofunguliwa.

Also asked kuchangamkia community issues for adult education sector will be aware of the importance of education and motivated to contribute to the development of their children's education such as teachers' houses, classrooms and desks.

"Parent is poelimika helps you until you yourself become proactive in contributing to children's education was onao ... ... furthermore, even issues of modern agricultural practices for the crop our main cashew adhered to so find the best products and income enough to maintain health and education of your family," said Chair man .


In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
September 29, 2011
And Godwin Msalichuma, – Newala, Mtwara – Sept. 29, 2011 – COMMUNITY District in Newala have to start classes in adult education to alleviate the problem of illiteracy and poverty, especially this time okothiri Tanzania inavyoadhimisha fifty years of independence. – That was written recently by the Chairman of the District Council that Mr. Ndembo hit in the weekly celebration of adult education held in the village of Mkunya...
This translation refers to an older version of the source text.