Base (Swahili) | English |
---|---|
Tarehe 04/07/2012 kutakuwa na kikao cha kujadili matumizi Alama za msingi zinazoweza kutumiwa na wakalimani wakati wa SENSA mwezi August 2012. lengo kutafuta njia rahisi ya mwasiliano kwa viziwi waishio vijijini ambao % kubwa hawajuhi kutumia lugha rasmi ya mawasilano (LUGHA YA ALAMA TANZANIA)
|
On 07/04/2012 there will be a meeting to discuss use basic phones that can be used by interpreters in the census in August 2012. aim to find an easy way for deaf rural mwasiliano who% larger Juhi not use the official language of mawasilano (SIGN LANGUAGE OF TANZANIA) |
Translation History
|