Kuhusu
Peleleza
Tafuta
Jitolee
Mabadiliko
English
Kiswahili
Kinyarwanda
Fungua
/WAKA/post/10
: Kiswahili
Asili
Kiswahili
Tarehe 04/07/2012 kutakuwa na kikao cha kujadili matumizi Alama za msingi zinazoweza kutumiwa na wakalimani wakati wa SENSA mwezi August 2012. lengo kutafuta njia rahisi ya mwasiliano kwa viziwi waishio vijijini ambao % kubwa hawajuhi kutumia lugha rasmi ya mawasilano (LUGHA YA ALAMA TANZANIA)
(Bila tafsiri)
Hariri