Base (Swahili) |
English |
Vitongoji Environmental Conservation Association ni jumuia isio ya kiserikali inayojihusisha na uhifadhi wa mazingira. Ilianzishwa mwaka 1996 kufuatia tokeo ambalo lilisababisha watu 35 kupoteza maisha yao kwa ajili ya kula nyama ya kasa aliyesadikiwa kuwa na sumu Tokeo hilo baya ndio chanzo kikubwa cha kuanzishwa kwa Jumuia hii.
Jumuiya hii imepata usajili wake mwaka 1997 na ina hati ya usajili no.33 chini ya sheria no.6 ya Zanzibar ya mwaka.Miongoni mwa mafanikio yake ni pamoja na :
- Uhifadhi wa mazingira ya ukanda wa pwani mashariki ya Kisiwa cha Pemba
- uhifadhi wa mikoko na mazalio ya viumbe vya baharini.
- kuweza kuwapatia taaluma ya uhifaadhi wa mazingira wananchi katika jimbo la wawi na Wilaya ya Chake kwa ujumla u oteshaji wa vitalu vya miti na upandaji wa miti
- kutambulika na jamii,serikali kuu na baadhi ya mashirika
- imeweza kufanya kazi na mitandao ya mazingira (mfano ) MTAMAZA
- tumeweza kufanya kazi katika jimbo na wilaya wakati mwanzoni ilikuwa ni viitongoji tu
- tumeweza kupata watendaji katika asasi na mafunzo mbali mbali ya uandaani wa miradi na usimamizi wa fedha.
|
Neighborhoods Environmental Conservation Association is a community organization unknown to inayojihusisha and environmental conservation. Founded in 1996 following the event which led to 35 people losing their lives for eating turtle meat was believed to have formed the worst consequence is a major source of introduction of this community. This community has its registration in 1997 and has a certificate of registration under the Act no.33 of Zanzibar No.6 mwaka.Miongoni of his achievements include: - Conservation zone of the east coast of the Island of Pemba
- conservation of mangroves
- to provide professional environmental uhifaadhi citizens in the state of District of His exist and generally u vegetation period of tree nurseries and reforestation
- recognized by the community, the central government and some organizations
- managed to work and networking environments (eg) MTAMAZA
- We can work in the state and district at the beginning was just viitongoji
- we can get the actors in the organization and training of the ndaani various projects and financial management.
|