Base (Swahili) | English |
---|---|
Vijana nje ya shule Duniani kote na Tanzania ni miongoni mwa makundi yaliyo katika hatari zaidi ya kuambukizwa V.V.U.Sababu hasa zinatokana na mazingira wanayoishi.Lakini pia vijana wanatumia muda mwingi nje ya familia zao na kutokana na kutokuwa na mbinu na uelewa wa kutosha wa kupambana na changamoto za makuzi yao.Matokeo ya hayo yote ni maambukizi ya V.V.U. Kadili vijana wanavyoambukizwa V.V.U na kuwa wagonjwa ndivyo familia zao zinavyozidi kupoteza nguvu kazi.
Suluhisho la haya yote ni kuwapa vijana stadi za kukabiliana na changamoto za kila siku katika makuzi yao.Kwa maneno mengine kuwapa vijana elimu ya stadi za maisha.
|
Youth out of school worldwide and Tanzania are among the groups in risk of contracting VVUSababu particularly attached to the environment are too young yoishi.Lakini spend much time outside of their families due to lack of techniques and adequate understanding of the challenges of human anti yao.Matokeo this is all new HIV infections As youth are transmitted HIV and patients so that their families work gets under way to lose power.
Solution to all this is to give young people skills to cope with the challenges of every day in other words give human yao.Kwa youth life skills education.
|
Translation History
|