Envaya

/TEYODEN/history: English: WI000355977A35D000005099:content

Base (Swahili) English

 

  • HISTORIA NA KUANZISHWA KWA TEYODEN

Vijana nje ya shule Duniani kote na Tanzania ni miongoni mwa makundi yaliyo katika  hatari zaidi ya kuambukizwa V.V.U.Sababu hasa zinatokana na mazingira wanayoishi.Lakini pia vijana wanatumia muda mwingi nje ya familia zao na kutokana na kutokuwa na mbinu na  uelewa wa kutosha wa kupambana na changamoto za makuzi yao.Matokeo ya hayo yote ni maambukizi ya V.V.U.

Kadili vijana wanavyoambukizwa V.V.U  na kuwa wagonjwa ndivyo familia zao  zinavyozidi kupoteza nguvu kazi.

 

Suluhisho la haya yote ni kuwapa vijana stadi  za kukabiliana na changamoto za kila siku katika makuzi yao.Kwa maneno mengine kuwapa vijana elimu ya stadi za maisha.

 

  • PROGRAMU YA VIJANA NJE YA SHULE NA KUUNDWA KWA TEYODENProgramu ya vijana nje ya shule ni mradi uliofahiliwa UNICEF na kutekelezwa na wilaya 19 nchini Tanzania, Temeke ikiwa ni moja kati ya wilaya hizo.Mwaka 2001 TEYODEN ilianzishwa kama matokeo ya programu hiyo.TEYODEN ni kifupi cha maneno Temeke Youth Development Network.TEYODEN ilisajiliwa chini ya Majina ya Makampuni mwaka 2003 na mwaka 2007 imesajiliwa katika Ofisi ya Makamo wa Raisi.Mtandao unaratibu kazi zake katika vituo 24 vya vijana Manispaa ya Temeke.Kwa sasa Manispaa ya Temeke imeongeza kata 6 na hivyo kufanya idadi ya kata 30.TEYODEN inapanga kutanua wigo wake wa kazi na kuzifikia kata zote 30.

 

  • History and the introduction of TEYODEN

Youth out of school worldwide and Tanzania are among the groups in   risk of contracting VVUSababu particularly attached to the environment are too young yoishi.Lakini spend much time outside of their families due to lack of techniques and   adequate understanding of the challenges of human anti yao.Matokeo this is all new HIV infections

As youth are transmitted HIV   and patients so that their families   work gets under way to lose power.

 

Solution to all this is to give young people skills   to cope with the challenges of every day in other words give human yao.Kwa youth life skills education.

 

  • APPLICATIONS FOR YOUTH OUTSIDE OF SCHOOL AND FORMATION OF TEYODEN Program youth out of school is a project implemented by UNICEF ofahiliwa 19 districts in Tanzania, Temeke as one of the districts hizo.Mwaka TEYODEN founded in 2001 as a result of the program is simply hiyo.TEYODEN The words Temeke Network.TEYODEN Youth Development was registered under the names of companies in 2003 and in 2007 registered at the Office of the Vice Raisi.Mtandao coordinates its work with young people in 24 centers Municipal Municipal Temeke Temeke.Kwa now 6 and it has increased the county make a number of plans to cut 30.TEYODEN expend its scope of work and meet all county 30.

In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
January 15, 2011
History and the introduction of TEYODEN ...