Log in

/TACOMO/home: English: WI000521BF66393000050798:content

« Previous   ·   Next »
Base (Swahili) English

TANZANIA COMMUNITY MEDIA ORGANIZATION (TACOMO) ni Shirika lisilokuwa la kiserikali, lililoanzishwa na wanataaluma mbalimbali wakiwemo waandishi wa habari, wauguzi, Maafisa ugani na walimu mwaka 2010, Kwa ajili ya kufanya kazi mahali pote Tazania Bara.

Shirika hilli linasaidia jitihada za serikali katika kuwezesha jamii hasa Vijana, wazee, Kilimo, Afya,  kuandaa Mafunzo/warsha, uwezeshaji, kushiriki na kushirikishwa katika shughuli za maendeleo ya nchi na kuibua mijadala ya hoja.

Madhumuni makubwa ni kuiunganisha jamii ili kujaliana na kutokomeza umasikini katika nyanja za Kilimo, Afya na kuibua hoja mbalimbali na kuifikishia Serikali kupitia vyombo mbalimbali vya habari hususani Magazeti, Redio, Televisheni, Mitandao (Blog), vipeperushi nk.

.KAZI ZA SHIRIKA;

. Kuandaa Warsha na semina za mafunzo kwa waandishi wa habari juu ya jinsi ya kuandaa habari za uchunguzi na kuwapa ruzuku ili waweze kufika Vijijini na kuibua mambo mbalimbali ya maendeleo yanayohusu matakwa ya jamii Vijijini na mijini na hatimaye kuwezesha sauti za wasiosikika kusikika.

. Kuwajengea uwezo waandishi wa habari wanaochipukia ili waweze kuandika habari za uchunguzi kwa kufuata vigezo vya kutambua habari (News Significance), kutambua na kutendea haki vyanzo halisi vya habari(Balance Sourcing), kujiridhisha na uhalisia (Indepth Reporting), mbinu za kutumia(Methods used) na Style ya kuanza kuandika habari husika.

 • Kuelimisha vijana wa kike na kiume na wazee kwa ujumla wao juu ya ujasiliamali na jinsi ya kujiunga na vikundi na kuwaelekeza katika mashirika yanayotoa mikopo kwa makundi hayo.

 • Kuibua vyanzo vinavyochangia kutokuwa na huduma bora za Afya ikiwemo matatizo ya wanawake, unyanyasaji wa kijinsia, Kilimo, Maji, Miundombinu na kusuluhisha migogoro katika jamii na kupatanisha.

 

TANZANIA MEDIA COMMUNITY ORGANIZATION (TACOMO) is a nongovernmental organization, founded by various professionals, including the reporters, nurses, teachers and extension officers in 2010, for the work place Tazania mainland.

Hilli organization supports government efforts to enable communities, especially youth, aged, Agriculture, Health, organizing training / workshops, facilitation, participation and involvement in land development activities and discussions to explore the move.

The main objective is to integrate it to caring society and eradicate poverty in the fields of Agriculture, Health and visually afflicted me with the facts and the Government through various media, especially newspapers, radio, television, networks (Blog), brochures, etc..

. WORK OF ASSOCIATION;

. Organize workshops and training seminars for journalists to information on how to prepare information for investigations and give subsidy to reach the villages and explore various aspects of development related needs of rural communities and urban centers and eventually enable the voices of non-heard audible.

. Empowering the reporters who chipukia to write about the investigation in accordance with the criteria for identifying information (News Significance), recognize and treat you right sourcing the actual media (Balance Sourcing), to ensure the realism (Indepth Reporting), method of use (Methods used ) and Style start writing stories that are relevant.

• To educate young women and older men and generally on Entrepreneurship and how to join and lead the organizations that give loans to these groups.

• Visually sentiment shared resources and improved health services, including the problems of women, sexual harassment, Agriculture, Water, Infrastructure and resolve conflicts in society and reconcile.


In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
August 18, 2011
TANZANIA MEDIA COMMUNITY ORGANIZATION (TACOMO) is a nongovernmental organization, founded by various professionals, including the reporters, nurses, teachers and extension officers in 2010, for the work place Tazania mainland. – Hilli organization supports government efforts to enable communities, especially youth, aged, Agriculture,...
Google Translate
August 17, 2011
Hilli organization supports government efforts to enable communities, especially youth, aged, Agriculture, Health, organizing training / workshops, facilitation, participation and involvement in land development activities and discussions to explore the move.
This translation refers to an older version of the source text.