Base (Swahili) | English |
---|---|
JEBA Society, ni kifupisho cha neno Jumuiya Endelevu Bagamoyo. Lilianzishwa mwaka 2000 na kupata usajili wa kisheria mwaka 2001, na kupewa cheti namba SO.11190. Lilianzishwa na vikundi vya kijamii kutoka wilaya ya Bagamoyo mjini na jimbo la Chalinze. Lengo kuu lilikuwa ni kuondokana na uonevu waliokuwa wakipata wakati misaada iliyokuwa inawalenga wao kupitishiwa halmashauri ya wilaya na kuwekewa vikwazo na mwisho wa siku huduma hizo kuishia kwa baadhi ya watu wasio walengwa. mf. hai ilikuwa ni fedha zilizokuwa zikitolewa na shirika la UNDP, kusaidia kuwajengea uwezo vikundi. Tangu kuanzishwa kwa Jumuiya hii imepata mafanikio makubwa sana. Moja ya mafanikio makubwa iliyopata ni pamoja na kuongeza vikundi vya kijamii kutoka 14 wakati huo na kufikia 40 kwa sasa. Vile vile Jumuiya iliweza kuanzisha chombo chake cha fedha kwa ajili ya kuwapatia walegwa wake mitaji katika shughuli zao. Na mwisho kabisa Jumuiya iliweza kujenga mahusiano mazuri na wadau mbalimbali wa maendeleo ndani ya wilaya ya Bagamoyo na nje ya wilaya. mf. mashirika ya kimataifa km MS/ACTION AIDTZ, JICA na wafadhili wengine muhimu kama The Foundation for Civil Society, CRS, REPOA n.k. |
JEBA Society, is the abbreviation of the word Bagamoyo Sustainable Communities. Was founded in 2000 and get a legal registration in 2001, and given the certificate number SO.11190. Created by social groups from the Bagamoyo district in the state of Chalinze. The main objective was to eliminate bullying were receiving aid when they kupitishiwa which specifically targets the district councils and the imposition of sanctions by the end of the day services are restricted to certain non-beneficiaries. eg. funds that were alive was issued by the organization of UNDP, to support capacity building groups. Since the establishment of this organization has achieved great success. One of the highly successful include increasing social groups from 14 at the time to reach 40 now. Similarly, the Community was able to establish his agency to provide funds for its capital walegwa in their activities. And last of all communities could build good relations with various stakeholders of developments within and outside the district of Bagamoyo district. eg. international organizations eg MS / ACTION AIDTZ, JICA and other donors as important as The Foundation for Civil Society, CRS, REPOA etc. |
Translation History
|