Injira

/MSOAPI/history: Kinyarwanda: WI000070CDF9864000096129:content

« Inyuma   ·   Ahakurikira »
Base (Igiswayire) Kinyarwanda

Asasi ya Mtwara Society Against Poverty (MSOAPO) ni asasi ya kiraia iliyoanzishwa mnamo mwaka 2007 na wanachama waanzilishi 22 ambao walikuwa ni mabalozi wa kujitolea wa kampeni za ISHI ambazo zinalenga kupambana na janga la Virusi Vya Ukimwi na UKIMWI katika Mkoa wa Mtwara. MSOAPO ilipata usajili rasmi tarehe 15/08/2007 chini ya Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto kupitia Sheria Na. 24 ya Mashirika Yasiyo ya Kiserikali ya mwaka 2002. Namba ya usajili ya MSOAPO ni; 13NGO/1081. MSOAPO kufikia sasa ina jumla ywa wanachama 22 kati yao Wanawake ni 11 na Wanaume 11. Asasi inafanya kazi katika wilaya zote za Mkoa wa Mtwara na Makao Makuu yapo katika Halmashauri ya Manispaa ya Mtwara.

(Not translated)

Kugirango ugire icyo uhindura kubyo wasemuye, ugomba kwinjira mu rubuga Injira · Iyandikishe