About
Explore
Search
Volunteer
Updates
English
Kiswahili
Kinyarwanda
Log in
/OLAI/post/20565
: English
Base
English
Ingawa Asasi au mashirika yasiyo ya kiserikali sio vizuri kukaa na kuandaa bajeti kwa ajili ya kuomba ruzuku tu, lakini mashirika haya yanatoa mchango mkubwa katika harakati za kupambana na umaskini na kuwa chachu ya maendeleo endelevu. Mashirika ya kimataifa yatambue juhudi za Asasi za kiraia na itakapowezekana ziwe zinapewa ruzuku ili ziendelee na harakati hizi muhimu kwa jamii.
(Not translated)
Edit
Katika muda wa miaka 3 ya 2012 - 2014 na 2015, Asasi ya Organization for Land and Agriculture Improvement (OLAI) imekuwa ikitekeleza mradi wa kuwajengea uwezo wananchi na wajumbe wa mabaraza ya Ardhi ya vijiji na kata, kuhusu sheria Na. 5 ya ardhi ya vijiji ya mwaka 1999, na kanuni zake za mwaka 2002, kwa ufadhili wa The Foundation for Civil Society (FCS) kwa ruzuku jumla ya Tshs. 51,990,000/= katika kata 7 zenye vijiji 42 katika Halmashauri ya wilaya ya Tandahimba iliopo mkoani Mtwara -...
(Not translated)
Edit