Base (Swahili) | English |
---|---|
Mtandao wa AZAKi Wilaya ya Lindi umefanya Mkutano wake mkuu wa mwaka 2012 siku ya tarehe 26/01/2013 katika ukumbi wa Lindi Press club. Mkutano huu pia ulikuwa mkutano wa uchaguzi wa viongozi wa Mtandao ambao kwa mujibu wa katiba ya LINGONET hufanywa kila baada ya miaka mitatu. katika uchaguzi huo viongozi wafuatao walichaguliwa kuwa viongozi wa Mtandao kwa kipindi cha miaka mitatu ijayo. 1. ESHA SALUM -MWENYEKITI 2. MARTINA CHIKOKO -MAKAMU MWENYEKITI 3. KHAMIS CHILINGA -KATIBU MTENDAJI 4. ABDALLAH MAIKO -KATIBU MSAIDIZI 5. HADIJA HASSAN -MJUMBE 6. SCHOLASTICA NGULI -MJUMBE 7. ABDALLAH MAJUMBA -MJUMBE 8. SELEMANI NAKULOTA -MJUMBE 9. FATUMA NNAMBUYE -MJUMBE 10. MIKE JOHN MLWILO -MJUMBE 11. ASHA BILALI -MJUMBE Mkutano mkuu pia ulimteua Bwana Saidi Kawanga kuwa Muhasibu wa LINGONET Pamoja na uchaguzi huo wajumbe walipata nafasi ya kupitia na kujadili taarifa ya utekelezaji na fedha kwa mwaka 2011/12 |
CSO Network Lindi District has made its annual general meeting on Thursday 26/01/2013 2012 in Lindi Press club venue. This meeting was also an election meeting of the leaders of the Network, which according to the constitution of LINGONET are held every three years. the election the following were chosen leaders become leaders of the Network for the past three years. 1. Nesha Salum-CHAIRMAN 2. Martina CHIKOKO-VICE CHAIRMAN 3. EXECUTIVE SECRETARY CHILINGA-Khamis 4. ASSISTANT SECRETARY taboo-ABDALLAH 5. Khadija HASSAN-MESSENGER 6. SCHOLASTICA Guli-MESSENGER 7. ABDALLAH Halls-MESSENGER 8. Solomon NAKULOTA-MESSENGER 9. Fatuma NNAMBUYE-MESSENGER 10. MIKE JOHN MLWILO-MESSENGER 11. ASHA BILALI-MESSENGER The general assembly also appointed Lord Saidi Kawanga be Muhasibu of LINGONET With the election of delegates had the opportunity to review and discuss the progress and financial report for the year 2011/12 |
Translation History
|