Mtandao wa AZAKi Wilaya ya Lindi umefanya Mkutano wake mkuu wa mwaka 2012 siku ya tarehe 26/01/2013 katika ukumbi wa Lindi Press club. – Mkutano huu pia ulikuwa mkutano wa uchaguzi wa viongozi wa Mtandao ambao kwa mujibu wa katiba ya LINGONET hufanywa kila baada ya miaka mitatu. – katika uchaguzi huo viongozi wafuatao walichaguliwa kuwa viongozi wa Mtandao kwa kipindi cha miaka mitatu ijayo. – 1. ESHA SALUM ... | (Not translated) | Hindura |