| Base (Swahili) | English |
|---|---|
|
@ COLD TZ Kutokana na kmbukumbu ni kwamba Tanzania tumerithi katiba kutoka serikali ya kikoloni iotunngwa kwa mtazamo wa vyama vingi kala ya uhuru, lakini mara baada ya uhuru yakafanyika marekebisho mara mbili kwa msingi wa chama kimoja.Kwahiyo ni kweli lazima katiba ya sasa ishirikishe vyama vingi. Kuhusu madaraka makubwa aliokuwa nayo rahisi kwa mtazmo wa katiba hii ya sasa rejea kwenye majibu au maoni tuliyo ya toa kwa bwana julius, wa PELO, alafu utupatie mtazamo na maoni yako. ahsante kwa kuchangia mada hii. |
@ Cold TZ From kmbukumbu is that Tanzania government we have inherited from the colonial charter with a view iotunngwa multiparty agencies of freedom, but immediately after independence twice Great review on the basis of party kimoja.Kwahiyo is really necessary constitutional multiparty ishirikishe now. About the major powers had had it easy with another aspect of this present constitution in answers or comments refer to what we gave to Mr Julius, the PELO, perspective and then to provide your comments. Thank you for sharing this topic. |
Translation History
|