Envaya

/jeanmedia/topic/19161/add_message: English: dM0007BAB18B6E1000019585:content

Base (Swahili) English

Ahsante sana kwa mchango wako. Je unaonaje ikiwa kwamba Raisi bado abaki na kauli ya mwisho lakini taasisi nyingine kama Bunge zibaki kutoa ushauri na mapendekezo? kwasababu katika mfumo wa tawala mbali mbali duniani , kauli za mwisho huwanazo wafalme malkia waziri mkuu ama Raisi kutengemea na mifumo ya katiba za nchi zao.

Katika tawala zote hizo lazima kuwe na mtu mwenye kauli ya mwisho. Unalionaje hilo Bwana Julius na wengine wote watakao taka kuchangia mada hii inayo tugusa wote.

 

Thank you very much for your input. Have you thought about whether the President still remain and that last statement but other institutions such as Parliament zibaki offer advice and suggestions? because the ruling system from around the world, the last word is they have kings, queen, prime minister or president kutengemea and constitutional systems of their countries.

In all these must be ruled by someone who last statement. Unalionaje that Lord Julius and all those who want to contribute to this topic has tugusa all.


In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
May 10, 2011
Thank you very much for your input. Have you thought about whether the President still remain and that last statement but other institutions such as Parliament zibaki offer advice and suggestions? because the ruling system from around the world, the last word is they have kings, queen, prime minister or president kutengemea and constitutional systems of their countries. – In all these must be ruled by someone who last statement. Unalionaje that Lord Julius and all those who...