Envaya

/ndanda/news: English: WI000378E41EEE6000004358:content

Base (Swahili) English

2. MKUTANO MKUU WA MWAKA WA MARAFIKI WA ELIMU TANZANIA

Siku ya tarehe 01 Septemba 2010 hadi 03 Septemba 2010, kwenye ukumbi wa VETA Dodoma, kulifanyika mkutano mkuu wa Marafiki wa Elimu Tanzania. Mkutano huo uliitishwa na shirika la hiari la HakiElimu. Kwa mujibu wa taarifa ya waandaaji wa mkutano huo, walielezea kuwa mkutano huo ulihudhuriwa na Wanaharakati wa Marafiki wa Elimu wengi zaidi kuliko mikutano mingine iliyotangulia.

Jumla ya washiriki zaidi ya mia moja walihudhuria mkutano huo. Miongoni mwa wanaharakati waliohudhuria mkutano huo, alikuwemo Mratibu na Mshauri wa kikundi cha Wanaharakati wa Elimu, Mazingira na Afya - WEMA, Mr. Mussa P.M. Kamtande.

Kwenye picha anaonekana Mratibu na Mshauri wa kikundi cha WEMA, Mr. Mussa P.M. Kamtande akisisitiza jambo, wakati alipopata nafasi ya kuelezea na kutoa uzoefu wake wa namna kikundi chake cha WEMA kilivyoweza kufanikiwa katika shughuli zake.

Mambo ambayo yameweza kufanywa na kikundi cha WEMA katika kipindi cha miaka mitatu toka kuanzishwa kwake mwezi Januari 2008, ni pamoja na ; Kuanzisha Maktaba ya Jamii Mkalapa, baadhi ya vitabu na machapisho yalitolewa na HakiElimu. Ujenzi wa ubao wa matangazo karibu na ofisi ya kijiji cha Mkalapa, mradi pia uliofadhiliwa na HakiElimu. Kuendesha mijadala ya wazi ambayo nayo ilifadhiliwa na HakiElimu, na Kuendesha vipindi vya redio kupitia redio Pride fm 87.8 ya mjini Mtwara, ambapo marafiki wa elimu kutoka mikoa ya Mtwara na Lindi walishirikishwa. Kati ya mwaka 2009 na mwaka 2010 jumla ya vipindi 23 vilirushwa hewani kupitia kipindi chake maarufu cha "Joto la Wiki" kinachorushwa na redio Pride fm 87.8, kila siku ya Jumapili kuanzia saa 10.15 hadi saa 12.00 jioni.

Kikundi cha WEMA kimefanikiwa pia kuunda vitengo ambavyo lengo lake ni kuwawezesha watu mbalimbali kushiriki katika mafunzo ya ujasiliamali. Kitengo kimojawapo kinajulikana kama; WEMA ART AND CARPENTRY SKILLS PROMOTION ama kwa kifupi; "WACS-Promotion." Kitengo hiki kinajishughulisha na kutoa mafunzo ya aina mbalimbali yakiwemo mafunzo ya useremala, uchoraji na uchangaji vinyago, pamoja na ujasiliamali. Kitengo hiki licha ya kwamba kinasimamiwa na WEMA, kitafanya shughuli zake chini ya Mchungaji Joseph Mwanga, mtaalamu wa seremala kutoka chuo cha ufundi VETA Ndanda.

Kitengo kingine kilichoundwa na WEMA kinajulikana kama; WEMA WOMEN EMPOWERMENT GENERATION, ama kwa kifupi,"WEMA Women-EG". Kitengo hiki kimelenga kuwahamasisha akina mama ambao ndio mhimili mkuu wa familia,ili waweze kushiriki katika harakati mbalimbali za kiuchumi. Katika hatua za awali,WEMA Women-EG wameanza kujifunza utengenezaji wa vyungu vya kupandia maua.

WEMA Women-EG wameanzisha timu za mpira wa pete na wavu kwa ajili ya wasichana, chini ya ufadhili wa; "Sports Development Aid (SDA)" kupitia mradi wake wa; "Mother & Daughter Project". Mradi wa 'Mother & Daughter Project' umelenga kuhamasisha akina mama wapate nafasi ya kufanya mazoezi madogo madogo kwa ajili ya kujenga afya zao. Tafiti nyingi zilizofanyika, zimedhihirisha wazi kwamba akina mama wengi katika nchi zinazoendelea kama Tanzania, wakati wote huwa kazini, na kwamba hawapati muda wa kupumzika. Katika hatua za awali, shirika la hiari la SDA chini ya mradi wa "Mother & Daughter Project" wametoa mipira kwa timu hizo mbili kwa ajili ya mazoezi.

Pamoja na mambo hayo yote, kitengo kinakusudia kuwapatia akina mama mafunzo ya; utaalamu wa utengenezaji wa batiki, utaalamu wa ubanguaji wa korosho pamoja na ufugaji wa kuku wa kienyeji. Aidha, WEMA Women-EG wanakusudia kutembelea taasisi zilizopo katika Kata ya Mwena wilaya ya Masasi ili kuongea na wanafunzi wa kike juu ya umuhimu wa mtoto wa kike kuwa na elimu, pia kuwakumbusha athari za miba za utotoni kwa msichana. Aidha, lengo la baadaye wakiwa na uwezo ni kutembelea taasisi nyingi zaidi katika wilaya ya Masasi.

Kikundi cha WEMA kimesajiliwa rasmi chini ya CBO's na mpango wa baadaye ni kukisajili kuwa NGO. Kikundi kina Katiba pamoja na Mwongozo unaotoa mwelekeo wa mambo yanayoshughulikiwa na yale yanayotarajiwa kushughulikiwa. Wanaharakati wa Elimu, Mazingira na Afya - WEMA wanayashukuru mashirika yote ya hiari ambayo yamekiwezesha kikundi kupiga hatua katika kutekeleza malengo iliyojiwekea

2. ANNUAL GENERAL MEETING OF THE FRIENDS OF THE TANZANIA EDUCATION

Day on September 1, 2010 until September 3, 2010, at VETA hall, Dodoma, was the great meeting of Friends of Education in Tanzania. The meeting was convened by the voluntary organization of HakiElimu. According to the report of the organizers of the conference, explained that the meeting was attended by activists of the Friends of Education more than other previous meetings.

A total of more than one hundred participants attended the conference. Among the activists who attended the conference, had been coordinator and advisor of the group of activists of Education, Environment and Health - good, Mr. Mussa PM Kamtande.

In pictures he looks Coordinator and Advisor of the good group, Mr. Mussa PM Kamtande stressing it, when he had the opportunity to explain and give his experience of how good his team kilivyoweza succeed in its activities.

Factors that conditions made ​​by a group of good in the past three years from its inception in January 2008, include: Establishing a Community Library Mkalapa, some books and publications were made ​​by HakiElimu. Construction of the notice board near the village of Mkalapa office, the project also funded by HakiElimu. Conduct open discussions in which it was funded by HakiElimu, and run radio programs via radio to 87.8 fm Pride in Mtwara, where the friends of education from Mtwara and Lindi regions were involved. Between 2009 and 2010 a total of 23 sessions were thrown into the air through his famous period of "heat of the Week" Pride kinachorushwa radio 87.8 fm every Sunday starting at 10:15 until 12:00 at night.

Group also successfully create a good unit that his goal is to empower people to participate in various training Entrepreneurship. One unit known as: good ART PROMOTION AND CARPENTRY skills or simply, "ACS-Promotion." This unit is involved in providing various training programs including training in carpentry, painting and uchangaji toys, and Entrepreneurship. This unit though managed by good, both operating under the Reverend Joseph Light, a professional carpenter from college vocational VETA Ndanda .

Another unit formed and known as a good, good women Empowerment generation, or simply, "good-Court of Women." This unit It aims to encourage mothers who are the backbone of the family, so they can participate in various economic movements. In the initial stages, KINDNESS-EG Women have started to learn the manufacture of planting flower pots.

KINDNESS Women-EG have formed a team of ball ring and net for girls, under the sponsorship of: "Sports Development Aid (SDA)" through its project to: "Mother & daughter Project". The project of 'Mother & daughter Project' has focused on encouraging mothers to the opportunity to do small exercises for building their health. Many studies undertaken, zimedhihirisha clear that many mothers in developing countries like Tanzania, while both are at work, and that they do not get time to relax. In the initial stages, a voluntary organization of SDA under the project "Project Mother & daughter" have provided the team with two balls for practice.

Despite all these, the unit intends to provide training for mothers, the specialist manufacture of Batik, expertise ubanguaji of cashews and local poultry. Moreover, good Women-EG are available institutes intend to visit in County Mena Masasi district to talk to female students on the importance of girl child to be educated, to remind the impact of thorns teenage girl. Furthermore, the purpose of later being able to visit many institutions are more in Masasi District.

A group of good registered under the CBO's official plan for the future is that kukisajili NGO. The group has a constitution with the guide that provides direction for matters which are covered and what is expected to be addressed. Activists of Education, Environment and Health - good to thank all the voluntary organizations which yamekiwezesha group to make progress in implementing the objectives and goals


In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
November 18, 2011
2. ANNUAL GENERAL MEETING OF THE FRIENDS OF THE TANZANIA EDUCATION – Day on September 1, 2010 until September 3, 2010, at VETA hall, Dodoma, was the great meeting of Friends of Education in Tanzania. The meeting was convened by the voluntary organization of HakiElimu. According to the report of the organizers of the conference, explained that the meeting was attended by activists of the Friends of Education...
Google Translate
March 21, 2011
2. Annual General Meeting of Friends of Education TANZANIA – Day on September 1, 2010 until September 3, 2010, on the porch of VETA Dodoma, feasibility general meeting of Friends of Education in Tanzania. The conference was convened by the agency's optional HakiElimu. According to the reports of the organizers of the conference, they explained that the meeting was attended by activists of the Friends of...
This translation refers to an older version of the source text.