Base (Swahili) |
English |
MTANDAO WA MASHIRIKA YASIYOKUWA YA KISERIKALI KATIKA WILAYA YA MTWARA wameendesha mafunzo ya siku mbili juu ya kuwajengea uwezokuhusu utetezi wa masuala ya jinsia na ukimwi kwa Azaki wanachama juzi na jana katika manispaa ya Mtwara yaliyofadhiliwa na GIZ Washiriki wa mafunzo ya kujenga uwezo kuhusu utetezi wa masuala ya jinsia na ukimwi kwa Azaki yaliyofadhiliwa na GIZ.
|
Network of Non Governmental Organisations in the district of MTWARA have conducted a two day training on building uwezokuhusu advocacy on gender issues from AIDS to civil society members on Wednesday and yesterday in Mtwara Municipality yaliyofadhiliwa and GIZ Participants of the training capacities of the advocacy of gender and AIDS to CSOs yaliyofadhiliwa and GIZ.
|