Envaya

/jeanmedia/topic/23528: Kinyarwanda

BaseKinyarwanda
Ni kweli kabisa wazee wa Tanzania ni muhimu wapewe pension kwa sababu zifuatazo:wazee wengi ni maskini na wengi wao wanaishi maisha ya chini ya dola moja na waishi vijijini.Wengi wao wanakufa kwa kukosa matibabu,pia wazee wameachiwa yatima kitu ambacho kinawafanya waishi maisha ya shida hivyo ni muhimu wapewe pension hata kama hawajawahi kufanya kazi.(Not translated)Hindura
UNADHANI SERIKALI YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA IKIANZA KUTOA PENSION JAMII KWA WAZEE WOTE HAPA NCHINI KAMA ILIVYO KWA NCHI NYINGINE KAMA BOTSWANA,AFRIKA YA KUSINI,MAULITANIA N.K ITAPOTEZA NINI?(Not translated)Hindura
IDADI YA WAZEE WOTE TANZANIA INAKADIRIWA KUWA NI ASILIMIA 5.7 KATI YA WATU MILION 38, WAZEE HAWA WANATUNZA MAYATIMA ASILIMIA 53 YA MAYATIMA WOTE NCHINI NA KWAMBA ASILIMIA 90 YA WAZEE WOTE WANAKADIRIWA KWAMBA WANAISHI VIJIJINI HELPAGE INTERANATIONAL KWA KUSHIRIKIANA NA NABROHO SOCIETY FOR THE AGED YA MAGU MWANZA-TANZANIA TUNAKAMPAINI KUBWA YA KUISHAWISHI SERIKALI IANZE KUWAPATIA PENSION JAMII (SOCIAL PENSION) WAZEE WOTE BILA KUJALI MZEE HUYO ALIFANYA KAZI SERIKALINI...(Not translated)Hindura
Isiwe mjadara,sana serikali makini uelewa na kusikia vilivyo busara na hata kuvi timiza kwa vitendo.Mimi 2010..nilikwisha anza kampeni wazee walifarijika sana,tuwatume wawakilishi(wabunge)(Not translated)Hindura
NI SABABU GANI ZINAZOCHELEWESHA WAZEEE WA TANZANIA KUPATIWA PENSION JAMII NA SERIKALI YETU WAKATI IDADI KUBWA YA WATOA MAAMUZI NI WAZEE WA KESHO NA WANAELEWA FIKA KABISA MAISHA YA WAZEE WENGI NI DUNI MUNO HATA KAMA WALIWAHI KUWA WATUMISHI WA SERIKALI MIAKA YA NYUMA?(Not translated)Hindura
IKITOKEA LEO AU KESHO RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DR JAKAYA MRISHO KIKWETE AKATANGAZA KWAMBA SERIKALI YAKE INAANZA KUTOA PENSION JAMII YA TSH 20,000/TU KILA MWEZI KWA WAZEE WOTE HAPA NCHINI JE UMAARUFU WAKE UTASHUKA AU UTAPANDA MARADUFU NA HAKUNA MTU ATAKAYE MSAHAU MAISHANI MWAKE(Not translated)Hindura
@NABROHO SOCIETY FOR THE AGED (MAGU,MWANZA,TANZANIA): – Wazee ni vijana wa zamani ambao walitumikia taifa hili katika nyanja mbalimbali za uzalishaji mali au katika kutoa huduma kwa jamii. Bila wao taifa hili lisingefika hapa lilipo leo na bila mchango wao tusingeweza kuwa na jeuri tuliyonayo leo au maendeleo tuliyofikia leo. Hivyo basi ni jukumu la vijana wa leo katika taifa hili kulinda mafanikio haya yaliyopatikana kutokana na wazee ambao ni vijana wa...(Not translated)Hindura
JE UNADHANI SERIKALI YA TANZANIA INAWEZA KULIPA WAZEE WOTE PENSION JAMII KILA MWEZI HASA UKIZINGATIA IDADI YAO HAIZIDI HATA %5.7 YA WATU WOTE(Not translated)Hindura
Inawzekana kabisa serikali inatakiwa kuanza utekelezaji wake mapema hata wakianza kwa sh 30000 za kitanzania itapendeza maana nchi yetu sio masikin.(Not translated)Hindura
WAZEE NI CHUMVI YA TAIFA HILI, KUPEWA HAKI STAHIKI NI WAJIBU WA TAIFA HILI (TANZANIA). MSINGI WA VIJANA WA LEO UNAASHIRIWA NA KAZI ILYOFANYWA NA WAZEE WA SASA.(Not translated)Hindura
JE NI MHIMU KWA SASA WAZEE WOTE TANZANIA KUPEWA PENSION JAMII BILA KUJALI ALIFANYA KAZI SERIKALINI AU LA?(Not translated)Hindura