Envaya

/MEECO/news: English

BaseEnglish
(image) – Katibu wa MEECO Nd. Suleiman J. Pandu akiwa na Mshauri wa kigeni wa jumuiya hiyo Bi. Katrina moja katika dhiara zao za kuangalia hali ya mazingira katika kijiji cha Makunduchi kilioko mkoa wa kusini Unguja(image) – Secretary of MEECO ND. Suleiman J. Pandu with Foreign Adviser Mrs. community. Katrina one look at their dhiara conditions Makunduchi village in the southern region of what is ZanzibarEdit
(image) – Mchanga uliochimbwa katika maeneo yasioruhusika ukiwa umekwisha uzwa. Hali ambayo inachangia wa kiasi kikubwa uharibifu wa mazingira katika Mji wa Mwanakwerekwe(image) – Sand was ochimbwa yasioruhusika desolate areas has already been sold. Conditions which significantly contributes to environmental degradation in the City of MwanakwerekweEdit
(image) – Mkurugenzi Wizara ya Kazi Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi na Ushirika Nd. Ameir Ali Ameir (Aliyesimama)ambae pia ni miongoni mwa walezi wa jumuiya hiyo akihutubia wanachama na wageni waalikwa katika sherehe za kumuaga Mshauri wa Kigeni wa Jumuiya ya MEECO Bibi Katrina Demullang iliyofanyika katika kijiji cha Meli nne Mbarali Mkoa wa Mjini Unguja Wilaya ya Magharib(image) – Director Ministry of Labour and Cooperative Economic Empowerment ND. Ameir Ali Ameir (Aliyesimama), who also is among the guardians of the community while addressing members and invited guests at the ceremony of farewell Advisor Foreign Community MEECO Mrs Katrina Demullang held in the village of ships four Mbarali Region Urban Unguja District GharibEdit
(image) – Shimo kubwa linalochimbwa Mchanga na vijana waharibifu wa mazingira liliopo mtaani katika mji wa Mwanakwerekwe-Taveta ni miongoni mwa athari za uharibifu wa mazingira katika mji huo(image) – Sand pit linalochimbwa and youth environmental degradation liliopo street in the city of Mwanakwerekwe-Taveta are among the effects of pollution in the cityEdit
(image) – Mkurugenzi Ajira, Ameir Ali Ameir(aliyesimama), Bibi Mwanaidi Kassim, Mshauri wa kigeni wa MEECO Bi.Katrina na Diwani wa Wadi ya Mwanakwerekwe Nd.Kitete wakiwa katika meza kubwa katika sherehe za kumuaga Mshauri wa Kigeni wa Jumuiya ya MEECO Bibi Katrina Demullang iliyofanyika katika kijiji cha Meli nne Mbarali Mkoa wa Mjini Unguja Wilaya ya Magharib(image) – Director Employment, Ameir Ali Ameir (who is standing), Mrs Mwanaidi Kassim, Foreign Adviser MEECO Bi.Katrina and Councillors of the Wadi Mwanakwerekwe Nd.Kitete with the large table in the farewell ceremony of the Foreign Advisor of Community MEECO Mrs Katrina Demullang held in the village of four ships Mbarali Unguja Urban Region District GharibEdit
(image) – Mgeni rasmi katika Sherehe ya kumuaga mshauri wa kigeni wa jumuiya ya MEECO akimkabidhi Bi. Katrina zawadi mbalimbali zilitolewa na wanajumuiya hiyo(image) – Guest of honor at the farewell ceremony of the foreign consultant community MEECO he presented Ms. Katrina gifts were given to the communityEdit
(image) – Mh.Mwanaidi Kassim akitia saini Certificate of appriciation na kumkabidhi mshauri wa kigeni wa jumuiya ya MEECO kutokana na utendaji kazi wake mzuri, katika sherehe za kumuaga zilizofanyika Melinne Mbarali Zanzibar(image) – Kassim Mh.Mwanaidi signing the Certificate of appriciation and extraditing foreign consultant MEECO community due to its good performance, in a farewell ceremony held Melinne Mbarali ZanzibarEdit
(image) – Mwenyekiti Kitengo cha Mazingira cha Asasi ya MEECO Bi. Halima Salum (nguo nyekundu)na Bi. Khadija Suleiman Mnoga mjumbe wa MEECO wakiwa katika Shamra shamra ya kumpokea mgeni rasmi Mh. Mwanaidi Kassim Juma Mwakilishi wa Viti maalum kwaniaba ya Naibu Waziri wa Habari, Utalii,Utamaduni na michezo katika sherehe za kumuaga Mshauri wa Kigeni wa Jumuiya ya MEECO Bibi Katrina Demullang iliyofanyika katika kijiji cha Meli nne Mbarali...(image) – Chairman of the Civil Division of Environmental MEECO Bi. Halima Salum (scarlet) and Bi. Suleiman Khadija MEECO green tobacco leaf as a member of the Shamra shamra welcome guest of Hon. Mwanaidi Juma Kassim Representative Quotas kwaniaba the Deputy Minister of Information, Tourism, Culture and Sports in the farewell ceremony of the Foreign Advisor of Community MEECO Mrs Katrina Demullang held in the village of four ships Mbarali...Edit
(image) – Mh.Mwanaidi Kassim ambaye ndiye aliyekuwa Mgeni rasmi akimkabidhi Certificate of appriaciation Mshauri wa kigeni wa Jumuiya ya MEECO Bi. Katina. katika sherehe ya kumuaga zilizofanyika Melinne Mbarali Zanzibar(image) – Mh.Mwanaidi Kassim who was guest of honor was presented Certificate of foreign appriaciation Advisor Ms. MEECO Community. Katina. at the farewell ceremony held Melinne Mbarali ZanzibarEdit
(image) – Baadhi ya waharibifu wa mazingira na pia watumiaji wa madawa ya kulevya zikiwemo bangi katika Mji wa Mwanakwerekwe wakiteremsha mchanga waliouchimbwa katika maeneo yasioruhusika na kupelekea athari mbali mbali katika jamii. MEECO inatoa elimu kuhusu uharibifu wa mazingira uliokithiri katika mji huo na Zanzibar yote kwa ujumla(image) – Some environmental degradation and drug users, including marijuana in the City of Mwanakwerekwe been revealed sand were dug in areas yasioruhusika leading to various effects in the community. MEECO provides education about environmental degradation and poverty in Zanzibar town all generalEdit
CommentsI recentlhttps://geeksquad-appointment.us/y signed up with Ovation credit repair services and I am already SO happy that I did! They are working hard and have already made a positive impact on my credit report. They helped remove negative items from my credit report that shouldn't have been there. This directly caused an increase in my credit score.They were easy to talk to,VERY friendly and easy to understand, and in a country full of terrible customer service, Ovation credit repair customer...Edit
SeptemberSeptemberEdit
{month} {day}, {year}{month} {day}, {year}Edit
DiscussionsDiscussionsEdit
KinyarwandaKinyarwandaEdit