Base (Swahili) |
English |

Mwenyekiti Kitengo cha Mazingira cha Asasi ya MEECO Bi. Halima Salum (nguo nyekundu)na Bi. Khadija Suleiman Mnoga mjumbe wa MEECO wakiwa katika Shamra shamra ya kumpokea mgeni rasmi Mh. Mwanaidi Kassim Juma Mwakilishi wa Viti maalum kwaniaba ya Naibu Waziri wa Habari, Utalii,Utamaduni na michezo katika sherehe za kumuaga Mshauri wa Kigeni wa Jumuiya ya MEECO Bibi Katrina Demullang iliyofanyika katika kijiji cha Meli nne Mbarali Mkoa wa Mjini Unguja Wilaya ya Magharib
|

Chairman of the Civil Division of Environmental MEECO Bi. Halima Salum (scarlet) and Bi. Suleiman Khadija MEECO green tobacco leaf as a member of the Shamra shamra welcome guest of Hon. Mwanaidi Juma Kassim Representative Quotas kwaniaba the Deputy Minister of Information, Tourism, Culture and Sports in the farewell ceremony of the Foreign Advisor of Community MEECO Mrs Katrina Demullang held in the village of four ships Mbarali Unguja Urban Region District Gharib
|