About
Explore
Search
Volunteer
Updates
English
Kiswahili
Kinyarwanda
Log in
/jeanmedia/news
: English
Base
English
PICHA MBALI MBALI ZA ATHARI ZA MAFURIKO JIJINI DAR-ES-SALAAM – (image) – (image) – Maji machafu karibu ya makazi ya watu na nyumba zizilojengwa kwenye maeneo hatarishi, – endapo mvua kubwa zitatokea tena ...
IMAGES various Effects of Flooding in Dar es-Salaam – (image) – (image) – Dirty water near human settlements and housing zizilojengwa in dangerous places, – If heavy rains occur again ...
Edit
Skill sharing- Basic Interviewing Skills – Hallo there! – I would like to share with you some basic Interviewing Skills: – Know what your story is-in other words why you are doing the interview? – Know what role this person is playing in your programme. – Brief yourself-find out as much background on the story as...
(Not translated)
Edit
ATHARI ZA MAFURIKO JIJINI DAR ES SALAAM – Kutokana na mafuriko yaliyolikumba jiji la Dar es salaam,tarehe 20/12/2011 wananchi wengi mpaka sasa hawana makazi ya kudumu na huduma za afya zimezidi kuzorota kwa kiwango kikubwa. – Takwimu zinaonesha kuwa watu wapatao 41 wamefariki dunia kutokana na mafuriko hayo,wakati wengine mamia wamepoteza makazi na mali zao.Baada ya tukio hilo kutokea serikali na wadau wengine walishirikiana kuhakikisha kuwa misaada ya hali na...
(Not translated)
Edit
MAISHA MAPYA MABWEPANDE BAADA YA MAFURIKO. – Ni mji mpya kwa sasa,unaopatikana km 37 kutoka jijini Dar es salaam na upo upande wa kusini magharibi mwa jiji hilo,unaotegemewa kukaliwa na familia zipatazo 1800,baada ya makazi yao kuharibiwa kwa mafuriko ya tarehe 20/12/2011. – Jumapili ya tarehe 22/01/2012,msururu wa magari ya jeshi la wananchi wa Tanzania ukiambatana na viongozi wengine wa mkoa wa Dar es salaam,waliwasili katika eneo la Mabwepande tayari kuwakabidhi...
NEW LIFE MABWEPANDE after the flood. – It is now a new city, found 37 km from Dar es salaam and lies on the south west of the city, you otegemewa occupation and family about 1800, after flooding destroyed their homes on 20/12/2011. – On Sunday 22/01/2012, a series of military vehicles of the citizens of Tanzania paired with other leaders of the region of Dar es salaam, arrived in the area of Mabwepande ready to hand over the house mafuriko.Eneo victims and...
Edit
(image) ilikuwa ni tarehe 20/12/201, usiku na kuamkia tarehe 21/12/2011 wananchi wa jiji la Dar es salaam walijikuta katika wakati mgumu mara baada ya kukumbwa na mafuriko,ambayo yaliwaacha baadhi ya wakazi wa jiji hili wakiwa hawana makazi ya kuishi huku wengine wapatao 41 wakipoteza maisha. – Kutokana na hali hiyo,serikali,taasisi,mashirika na watu binafsi walijitoa kwa hali na mali kuhakikisha kuwa wahanga wa mafuriko wanasaidiwa,kwa...
(image) was on 20/12/201, night and greet on 21/12/2011 citizens of the city of Dar es salaam, they find themselves in when faced tough times after the flood, which yaliwaacha some residents of this city with no home to live with About 41 others were killed. – Given the situation, governments, institutions, organizations and individuals committed to state property to ensure that the flood victims are being assisted, to seek shelter, clothing and...
Edit
ELIMU YA STASDI ZA MAISHA. – Mimba za utotoni na utumiaji wa dawa za kulevya nchini Tanzania limekuwa ni tatizo linalokuwa siku hadi siku.Takwimu zinaonesha kuwa watoto wenye umri kuanzia miaka 9-25,ndio wanaoathirika kwa kiwango kikubwa na tatizo hili. – Mwaka 2008 katika shule ya msingi Ilagala mkoani Kigoma binti wa miaka tisa alionekana kuwa na ujauzito ,hali ambayo ilihatarisha maisha yake na kiumbe kilichokuwa tumboni.Mwaka 2006 wanafunzi 64 wa kike...
STASDI EDUCATION OF LIFE. – Teenage pregnancy and drug use in Tanzania has been a problem until the day I linalokuwa .Takwimu suggest that children aged from 9-25 years, who are significantly affected by this problem. – In 2008 the primary school Ilagala Kigoma daughter of nine years was found to be pregnant, which ilihatarisha his life and being was tumboni.Mwaka 2006 students 64 girls who started school in high school Ilagala, students only 4 were fortunate to...
Edit
UCHUNGUZI ZAIDI WA MAENEO YALIYOATHIRIKA NA MAFURIKO UNAHITAJIKA. – Baada ya mafuriko yaliyotokea tarehe 20/12/2011 kuacha familia zaidi ya 1800 zikiwa hazina makazi,upotevu wa mali na vifo vya watu zaidi ya 41,imebainika kuwa kuna haja ya kufanya uchunguzi akinifu ili kubaini madhara zaidi yaliyopatikana kutokana na ukweli kuwa...
Further investigation of flood-affected areas is needed. – After the floods occurred on 12.20.2011 leaving more than 1,800 families have no homes being, loss of property and deaths of people over 41, it is noted that there is a need to make an inquiry was faithful to identify more harm attained due to the fact that there are...
Edit
HALI HALISI YA MAISHA BAADA YA MAFURIKO JIJINI DAR ES SALAAM – kama umebahatika kutembelea maeneo ambayo yamekumbwa na mafuriko katika jiji hili,hali ni mbaya sana kwa wakazi wa maeneo hayo.Nyumba nyingi ziko kwenye tope zito huku tope hilo likiwa limechanganyika na kinyesi cha binadamu. – hali ya maisha kwa ujumla imekuwa ngumu sana kiasi kwamba wengine wamekata tamaa ya kuishi.Wapo wazazi ambao wana watoto wa shule,lakini tangu shule zinafunguliwa hawajaenda...
THE PURE LIFE after the floods in Dar es Salaam – as has been fortunate to visit areas that have suffered from flooding in this city, the situation is very bad for the residents of the areas most yo.Nyumba located in thick mud with mud as it limechanganyika and human waste. – conditions of life in general has become so complex that some have despaired of kuishi.Wapo parents who have children in school, but since school zinafunguliwa not go to school due to lack of...
Edit
MAZINGIRA HATARISHI KWA WAKAZI WA BONDE LA MTO MZINGA. – Baada ya mafuriko kulikumba jiji la Dar es salaam hapo tarehe 20/12/2011 na kuacha hasara kubwa kwa wakazi wa jiji hili,serikali ilichukua hatua za dharura kuhakikisha kuwa huduma za chakula,malazi na mavazi zinaendelea zinaendelea kupatikana kwa waathirika wa mafuriko hayo. – Ukubwa wa tatizo hili umesababisha baadhi ya familia...
Risk ENVIRONMENT FOR POPULATION River Basin cannon. – After the flood kulikumba Dar es Salaam there on 20/12/2011 and stop loss to the population of this city, the government took emergency measures to ensure that services of food, shelter and clothing continue to be underway for the victims of the floods. – The size of this problem has led some families have a difficult situation of...
Edit
(hidden)
(hidden)
(hidden)
(hidden)