Log in

/jeanmedia/news: English: WI000E53ED04A10000100316:content

« Previous   ·   Next »
Base (Swahili) English

MAZINGIRA HATARISHI KWA WAKAZI WA BONDE LA MTO MZINGA.

Baada ya mafuriko kulikumba jiji la Dar es salaam hapo tarehe 20/12/2011 na kuacha hasara kubwa kwa wakazi wa jiji hili,serikali ilichukua hatua za dharura kuhakikisha kuwa huduma za chakula,malazi na mavazi zinaendelea zinaendelea kupatikana kwa waathirika wa mafuriko hayo.

Ukubwa wa tatizo hili umesababisha baadhi ya familia kuwa na hali ngumu ya kimaisha kutokana na ukweli kwamba nyingi za familia zilipoteza mali zote .Serikali kwa kujali ustawi wa wananchi wake imetenga eneo la kuwahifadhi wahanga wa mafuriko hayo nje kidogo ya jiji la Dar es salaam maarufu kama Mabwebande.

Maeneo yaliyoathirika sana kwa mafuriko hayo ni kimara,ubungo,mburahati,hananasifu,bonde la msimbazi na jangwani kwa kutaja machache.Bonde la mto mzinga liko mbagala misheni kando ya barabara ya kilwa.Mto huu ni moja kati ya maeneo yaliyoathirika vibaya kutokana na mafuriko hayo,lakini kwa bahati mbaya hakuna taarifa zozote zinazoonesha kuwepo kwa hatua za dharura za kuwasaidia wakazi wa eneo hilo.

Hali ya maisha ya wakazi wa eneo hili yako hatarini kwa kuwa nyumba nyingi ziko karibu na mto huu.Licha ya ukaaribu wa mto huu,vile vile,kiwanda cha nguo cha KTM [karibu textile mill]ni tatizo jingine linaloongeza hatari kwa maisha ya wakazi katika eneo hilo.Kiwanda hicho kinatiririsha maji machafu kupitia makazi ya watu,hali ambayo ni hatari kwa afya zao.

Mifumo ya maji na miundo mbinu yake hili hakuna hali ambayo inapelekea wakazi wake kutumia maji ya mto huo kwa shughuli za kijamii kama vile kufulia,kuogea na kulishia mifugo.Eneo la mto mzinga linachukua mitaa ya ngadu,kizinga,bughudadi,mashine ya maji namba tano na misheni,lakini maeneo yote hayajatambuliwa kama maeneo yaliyoathiriwa kwa mafuriko .Baadhi ya nyumba ziko karibu kabisa na mkondo wa maji wa mto huo,hivyo kuongeza uwezekano wa kutokea kwa madhara zaidi pindi mvua za masika zitakapoanza hapo mwezi machi

Tatizo lingine linaloweza kuwakumba wakazi wa eneo hili ni kupata magonjwa ya ngozi kutokana ukweli kwamba maji yanayotoka kiwandani yana kemikali zinazoweza kumdhuru mwanadamu kirahisi.Kemikali hizo ni zile zinazotupwa kutoka kiwandani bila mpangilio maalumu.Wakazi wanaoishi upande wa mashariki mwa mto huo,wapo ndani kabisa ya mkondo wa bahari ya hindi.

Kiujumla eneo hili halifai kuishi kutokana na kuwa katika mfumo wa mkondo wa maji yanayo enda kasi na ardhi yenye kichanga,ambayo ni rahisi kumegeka na kuleta madhara makubwa kwa binadamu na mali zake.Jeanmedia huwa tunaamini kuwa kinga ni bora kuliko tiba,na kutokana na ukweli huo,tungependa kuwaomba wote wenye mamlaka na bonde hili wachukue hatua za haraka za kuwaondoa wakazi wote katika mto huu ama kwa kuwapatia viwanja vya kujenga au kuwapatia fedha ambazo zitawasaidia kutafuta makazi mapya.

Pamoja na eneo hili kuwa hatari kwa maisha ya binadamu,vile vile limesheheni miti aina ya mikoko ambayo inahitaji matunzo ya pekee ili kuifanya izidi kuwepo kwa ajili ya kutunza vyanzo vya maji ya bahari ya hindi na viumbe vingine vilivyomo ndani yake.Lakini tukumbushane kuwa mdharau mwiba mguu huota tende,leo tumeona na tumejua hatari iliopo mbele yetu,hebu tuchukue hatua ili baadae tusimputupie MUNGU lawama .

Chini utaweza kuona picha mbalimbali za mto,nyumba na mshine ambayo hutumika kuchujia maji na kuyapeleka kiwandani na mashine hiyo imekuwa ni chanzo kelele kwa wakazi wa eneo hilo na hutoa moshi mchafu ambao una madhara kwa afya za binadamu.

 

 

ANTON KITERERI

 

 

 

 

 

 

 

 

 

Risk ENVIRONMENT FOR POPULATION River Basin cannon.

After the flood kulikumba Dar es Salaam there on 20/12/2011 and stop loss to the population of this city, the government took emergency measures to ensure that services of food, shelter and clothing continue to be underway for the victims of the floods.

The size of this problem has led some families have a difficult situation of life due to the fact that many families zilipoteza all the property. Government in regard to the welfare of its citizens has allocated area to accommodate the victims of the floods the outskirts of Dar es Salaam, known as Mabwebande.

Areas most affected by the floods is Kimara, Ubungo mburahati not nanasifu, the valley of the trail and wilderness river machache.Bonde mention the hive is Mbagala mission kilwa.Mto along the road is one of the areas badly affected by floods , but unfortunately no information showing the existence of any emergency measures to help residents of the area.

The living conditions of residents of this area are at stake in that many homes are located near the river are u.Licha of the defile of the river, too, as a garment factory of KTM [close Textile mill] is another problem linaloongeza risk to the lives of residents in kinatiririsha hilo.Kiwanda area that drains water through people's homes, which are dangerous to their health.

Water systems and its infrastructure this is not a condition that leads its residents to use water from the river for social activities such as laundry, bathing and river kulishia mifugo.Eneo revises local crab turkey, turkey, bughudadi, water machine number five and mission, but not all areas yajatambuliwa as areas affected by floods. Some homes are located quite close to the stream of the river, thus increasing the potential for harm to occur more when spring rains start to the month march

Another problem can kuwakumba residents of this area are skin diseases due to the fact that water coming from the factory contain chemicals that can harm human kirahisi.Kemikali are those from the factory zinazotupwa random maalumu.Wakazi living in the east of the river, there are depths of stream of the Indian Ocean.

Generally not a desirable area to live due to be in the form of the stream which go faster and a sandy soil, which is easy kumegeka and bring serious consequences to humans and property zake.Jeanmedia is we believe that prevention is better than cure, and due to the fact time, we would like to urge all those in authority and this valley to take immediate steps to remove the whole population in this river by providing plots or building or provide funds that will help find new homes.

Although this area was dangerous to human life, as well as a variety of mangrove trees limesheheni which requires special care to make it might increase the presence of caring for water resources of the Indian Ocean and other creatures that dwell in yake.Lakini tukumbushane despise thorn foot dream dates, today we saw and we know the risk exists before us, let us take a step to subsequent mputupie not blame God.

Below you can see various pictures of the river, homes and machines which are used kuchujia water and put them before the factory and the machine has been a source noise for residents of the area and offers a foul smoke which is detrimental to human health.

ANTON KITERERI


In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
March 7, 2012
Risk ENVIRONMENT FOR POPULATION River Basin cannon. – After the flood kulikumba Dar es Salaam there on 20/12/2011 and stop loss to the population of this city, the government took emergency measures to ensure that services of food, shelter and clothing continue to be underway for the victims of the floods. – The size of this problem has led some families have a difficult situation of...