Kuhusu
Peleleza
Tafuta
Jitolee
Mabadiliko
English
Kiswahili
Kinyarwanda
Fungua
/ldf/topic/22707
: Kiswahili
Asili
Kiswahili
Wazee wawajibike. Kukosa maadili kwa vijana kunatokana na kutowajibika kwa wazee. Hao vijana wa zamani ambao walikua na maadili mema ni kutokana athari ya maadili mazuri ya wazee wao. – Mfano vijana wanaovaa vibaya na kwenda nusu uchu hawakii mapangoni wanaishi majumbani pamoja na wazee wao. Jee wazee hawayaoni hayo. Mtoto wako anapokuaga kwamba anakwenda disco usiku nakurudi saa nane au tisa usiku nawe ukamngojea kumfungulia mlango jee ni nani aliyekosa maadili ni kijana au...
(Bila tafsiri)
Hariri
VIONGOZI NDIO WALIOTAKA VIJANA WAAPOTOKE KIMAADILI. FIKIRIA KILA KIONGOZI KWA NINI ANJIHALALISHIA KUNUNUA ARDHI NA BAADAE AMA KUIUZA KWA WAWEKEZAJI AU/NA KUJENGWA HOTELI ZA KITALII.....NA UFUSKA UNAOFANYIKA HUMO MH! USO HUWEZI KUFUNUA KAMA UTAONESHWA. KWA JAMII NAO KUWAPENDA WATOTO NA VIJANA WAO KIASI CHA KUWANUNULIA SIMU ZENYE MTANDAO HUKU WAKITAZAMA PICHA CHAFU WAELEWE WANAWAPOTOSHA KIMAADILI. HEE WAZAZI HATA WATOTO WAKIKATAZWA KUTOCHUKUA SIMU SHULE MNAGOMBA....MAPENZI GANI HAYO? ...
(Bila tafsiri)
Hariri
Vijana wengi wa Zanzibar wanakosa maadili mema, kabla ya hapo vijana walikuwa na maadili mazuri – Je? kifanyike nini
(Bila tafsiri)
Hariri
kutokana na utandawazi uliopo sasa umekuja na vijana ndio walio upokea kwa kasi zaidi na kujikuta vijana wanafahamu mambo mengi zaidi kuliko wazee misemo na maneno yale ya kificho yaliokuwa yakitumika zamani kuwakanyia wa watoto sasa uwezi tena kumwambia mtoto akakuelawa au kina kwa mfano zamani kijana wa miaka kumi na nane ajui kuhusu maswala ya ngono wakati mwengine mpaka anaoa lakini ajui umo ndani afanye nini lakini sasa hivi mtoto wa mika mnne tayari anajua hata staili mbalmbali za...
(Bila tafsiri)
Hariri
Asante sana Haji Mwadini kutoka Zanzibar kwa majibu yako mazuri lakini utakubaliana na mimi kuwa kila mtu ana haki ya kufanya biashara yeyote lakini bila kuvunja sheria ya Nchi. kununua na kuuza Ardhi ni haki ya kila raia bila kujali kiongozi au mtu binafsi na kuhusu kujengwa Hoteli za kitalii sio tatizo sababu ni moja ya maendeleo swala la kutumia simu za gharama kwa wanafunzi wa shule hilo lipo wazi kuwa hapaswi kutumia simu wakati wa akiwa shuleni lakini hukumbuke kuwa sasa shule...
(Bila tafsiri)
Hariri
vijana wa zanzibar wakosa maadili
(Bila tafsiri)
Hariri