Log in

/M-E-D-1-1/post/58936: English: WI000BE15217E85000058936:content

« Previous   ·   Next »
Base (Swahili) English

BIASHARA UTOTONI NA ELIMU

Mtoto Samson Hezron (11) mwanafunzi wa darasa la nne katika shule ya Msingi Ngh'ongh'onha katika Manispaa ya Dodoma ni miongoni mwa wanafunzi wa shule za msingi wanao juihusisha na biashara wakiwa na lengo la kusaidia kuinua kipato cha familia zao.

Samson akionge na MED alisema kuwa anafanya biashara ya miwa ili kuongeza kipato kwenye familia na kuweza kupata fedha za kukidhi mahitaji yake muhimu yakiwemo ya sare na madaftari ya shule.

"Baba na mama yangu hawana kazi japo baba amesoma hadi darasa la saba; nikipata fedha nampa mama kwa ajili ya chakula na nyingine naweka kwa ajili ya mahitaji ya shule"

Samson anadai kuwa hufanya biashara kwa kufuata ratiba ya nyumbani kuwa ni lazima awe nyumbani kabla ya saa kumi na moja jioni wakati hufanya biashara kwa siku za jumamosi, jumapili, siku za mapumziko na likizo.

Kijana huyu anaongeza kuwa pamoja na kufanya biashara katika umri mdogo ratiba yake ya masomo anaiheshimu na kujikuta akipata si chini ya alama 70 kwa somo la Hisabati, 80 kwa sayansi na 30 kwa somo la kiingereza. "Kiingereza ni kigumu sana kwangu; hata hivyo mwalimu wa kiingereza na sayansi Mwl. Luganissa nampenda sana kwani anaelekeza vizuri bila viboko"

      Kijana Samson akiwa na miwa yake tayari kuelekea mitaani kutafuta waeja wa miwa.

Mtoto Samson nadai kuwa mtaji wake wa miwa ni kiasi cha sh 2000 ambazo humpatia faida ya kati ya sh 2000 hadi 2500 kwa siku. Kuhusu kupata muda wa kujisomea "Sam" anasema hasomi tuition kwani kaka yake anayesoma darasa la saba ana mfundisha kila siku kuanzia saa 12 jioni nyumbani kwao. 

Kijana Samsoni ni mmoja kati ya watoto wanaofanya biashara mbalimbali mkoani Dodoma kwa lengo la kukabiliana na hali ngumu ya maisha katika gfamilia zao. Wengi wa vijana wenye umri sawa na wa Samson hujihusisha na kuomba-omba mitaani, biashara ya vyuma chakavu na kuokota chupa za plastiki na kuziuza kwa wafanya biashara wa chupa hizo.

Early BUSINESS AND EDUCATION

Child Hezron Samson (11) fourth grade student in primary school Ngh'ongh'onha in Dodoma Municipality is among the students of primary schools who juihusisha business with the goal of helping raise the income of their families.

If WITH Monge and Samson said that he traded the cane to increase the family income and to obtain money to meet essential needs including school uniforms and books.

"My father and mother do not work even though the father has read until seventh grade, I got the money, gave the mother for food and other needs to make a school"

Samson claims that do business in accordance with a schedule of home that you must be home before eleven at night when you do business on Saturdays, Sundays, holidays and vacation.

Boy adds that along with doing business in the early schedule of lessons is respect and find themselves experiencing a minimum score 70 for the study of mathematics, 80 science and 30 to study English. "English is very difficult for me, however, teacher English and science Mwl. Luganissa much as I love a good turn without corporal punishment "

Young Samson with his cane toward the street ready to seek Major cane.

Baby Samson claims that the capitalization of sugar is the amount of sh 2000 which gives a sh benefits between 2000 to 2500 per day. About find time to read "Sam" says he does not read the tuition for his brother who learns he has taught seventh grade each day starting at 12 pm at home.  

Young Samson is one of the children who have various business Dodoma region in order to cope with harsh living conditions in their gfamilia. Many of the young age of Samson is an involved and pray-pray street trading and collecting scraps of plastic bottles and selling them to merchants of these bottles.


In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
January 29, 2012
Early BUSINESS AND EDUCATION – Child Hezron Samson (11) fourth grade student in primary school Ngh'ongh'onha in Dodoma Municipality is among the students of primary schools who juihusisha business with the goal of helping raise the income of their families. – (image) WITH Monge and Samson was said to be doing the business of sugar to increase the family income and to obtain money to meet critical needs including school uniforms...
Google Translate
November 26, 2011
Early BUSINESS AND EDUCATION – Child Hezron Samson (11) fourth grade student in primary school Ngh'ongh'onha in Dodoma Municipality is among the students of primary schools who juihusisha business with the goal of helping raise the income of their families. – WITH Monge and Samson was said to be doing the business of sugar to increase the family income and to obtain money to meet critical needs including school uniforms and books. ...
This translation refers to an older version of the source text.
Google Translate
September 5, 2011
Early BUSINESS AND EDUCATION – Child Hezron Samson (11) fourth grade student in primary school Ngh'ongh'onha in Dodoma Municipality is among the students of primary schools who juihusisha business with the goal of helping raise the income of their families. – If WITH Monge and Samson said that he traded the cane to increase the family income and to obtain money to meet essential needs including school uniforms and books. ...
This translation refers to an older version of the source text.
Google Translate
September 4, 2011
Early BUSINESS AND EDUCATION – Child Hezron Samson (11) fourth grade student in primary school Ngh'ongh'onha in Dodoma Municipality is among the students of primary schools who juihusisha business with the goal of helping raise the income of their families. – If WITH Monge and Samson said that he traded the cane to increase the family income and to obtain money to meet essential needs including school uniforms and books. – "My...
This translation refers to an older version of the source text.