Base (Swahili) | English |
---|---|
Hakuna Maisha Bora Bali Bora Maisha.Familia moja katika Kata ya Kikuyu Kusini Manispaa ya Dodoma itaubaliana na kauli yangu kwa Bora Maisha kwa Kila Mtanzania na ukweli si Maisha Bora kwa kila Mtanzania kama ambavyo kauli hiyo imekuwa ikiimbwa kila kukicha na viongozi wetu wa Serikali na hata wa hama Tawala CCM. Kwa zaidi ya mwezi mmoja na nusu sasa moja kati ya nyumba zilizoathiriwa na mvua zilizonyesha mjini Dodoma tangu mwishoni mwa mwezi Januari haijafanyiwa ukarabati licha yafamilia hiyo kuendelea kuitumia nyumba hiyo huku kila siku wakizidisha sala na kujikabidhi mikononi mwa muumba kwa lolote linaloweza kutokea. Unadhani familia hii itachagua lipi kati ya Maisha Bora kwa Kila Mtanzania na Bora Maisha kwa Kila Mtanzania? Ni wazi kwamba jibu la familia hii unalo. Tuachane na nyumba ya mpiga kura huyu na kuangalia suala la usafi wa mazingira na hasa suala la choo; KARIBU! Hiki ndicho choo kinacho tumiwa na familia hii; hiki ni kipindi cha mvua ambacho kwa kawaida kipindupindu nacho hushika hatamu. Bado najiuliza juu ya Familia hii; inaihesabu na kuikubali SERIKALI NA KAULI ZAKE? Majibu na ushauri wako ni muimu sana! |
No Life Bora Bora Bali life.One family in South County Kikuyu itaubaliana Dodoma Municipality and my statement for Better Life for every Tanzanian and reality is not a better life for every Tanzanian if that statement has been ikiimbwa each kukicha and our leaders of government and the ruling CCM move. For more than a month and a half now one of the houses affected by rainfall in Dodoma zilizonyesha since late January, despite a renovation ijafanyiwa yafamilia that continue to use the property while they multiply daily prayers and delivered to the creator kujikabidhi for anything that can happen. Do you think this family will select which of the better life for every Tanzanian and Better Life for All in Tanzania? It is clear that the answer to this family you have. Tuachane and this voter's house and look at the issue of sanitation and especially the issue of toilet: WELCOME! This is what the toilet used by this family, this is the rainy season that usually it is assumed cholera control. Families still wondered about this, and accept GOVERNMENT inaihesabu his statements? Answers to your advice is very muimu! |
Translation History
|