Kuhusu
Peleleza
Tafuta
Jitolee
Mabadiliko
English
Kiswahili
Kinyarwanda
Fungua
/Tawa/post/100107
: Kiswahili
Asili
Kiswahili
Suala la afya kwa wahanga hawa wa mafuriko ni muhimu kulishughulikia kutokana na mazingira/ maeneo yao ni machafu sana na mengine bado yamezingirwa na maji ,na wahanga hawa wameshaanza kuathirika na magonjwa ya mlipuko ikiwemo maralia tukizingatia kuwepo kwa mgomo wa madakitari hii ianweza kusababisha athari kubwa ikiwemo vifo.Hivyo tunaomba misaada husika ipelekwe kwa walengwa haraka iwezekanavyo.
(Bila tafsiri)
Hariri
Tungeomba vilevile suala la wanafunzi wa shule za msngi na sekondari wa maeneo tuliyotemelea waweze kupewa msaada wa haraka wa mahitaji ya shule kama yalivyoainishwa ili waendelee na masomo kwa sababu wanafunzi wengine wanaendelea na masomo ,
(Bila tafsiri)
Hariri
Janga hili ni kubwa na limeleta madhara makubwa katika maisha ya wananchi hawa,familia zimekosa mwelekeo, waathirika wakubwa ni watoto na akina mama ambao wameachwa na waume zao kwa sababu ya hali ngumu ya maisha baada ya mali zao kuteketea.Hivyo tunashauri taasisi za kimataifa .makampuni, watu binafsi kusaidia familia hizi kwani mpaka sasa serikali haijatoa msaada wowote kwa wahanga hao,
(Bila tafsiri)
Hariri
Survey ya Athari za Mafuriko,Keko Wilaya ya Temeke. – Yafuatayo ni Maswali na majibu: – 1.Unaishi eneo gani – Mtaa wa Magulumbasi 'A' – 2.Mtaa wako Unahitaji kitu gani sana sana – Mtaa wangu unahitaji – Kutengenezewa mirefereji midogo midogo itayoweza kuzunguka nyumba na kupitisha maji kwa urahisi sehemu zote. Kutengeneza mipaka...
(Bila tafsiri)
Hariri