Injira

/mzizifoundation/topic/122477: Kinyarwanda: dMpOLcDo30vC4eVRq65MlHmc:content

« Inyuma   ·   Ahakurikira »
Base (Igiswayire) Kinyarwanda

Naomba msaada kwenu wadau wa maendeleo na Afya hususani Afya ya uzazi na haki kwa vijana.

Vijana tupo katika hali mbaya ambayo mara nyingi hupelekea mimba za utotoni,watoto wasio tarajiwa na hata wengi wao kuishia kuwa watoto wa mitaani. ikumbukwe kuwa si wote wanaopata mimba wamekusudia kupata mimba.

Ulimwenguni kote kwa mujibu wa Shirika la kimataifa la Women Global Network for Reproductive Health (WGNRR) Makadirio ya zaidi ya mimba 41.6 milion duniani zinatolewa kila mwaka, katika hizo 21.6 milion hazitolewi kwa njia salama na kupelekea vifo kwa wasichana wadogo wasio na hatia. 95% ya utoaji mimba huu hufanyika katika nchi zinazoendelea. wasichana zaidi ya 47,000, hfa kutokana na utoaji mimba usio wa kisheria na salama.

 kwa hali hii katika nchi yetu . Ninajitoa muhanga kutetea Utoaji mimba salama iruhusiwe katika nchi yetu kisheria (tuipitishe kama inafaa)

(Not translated)

Kugirango ugire icyo uhindura kubyo wasemuye, ugomba kwinjira mu rubuga Injira · Iyandikishe