Fungua

/hakielimu/news: Kiswahili

AsiliKiswahili
Walimu watoa maoni yao kuhusu mtihani wa #neshino unaotarajia kufanyika kesho http://t.co/csSWNnAw pia fuatilia #neshino utume ujumbe wako(Bila tafsiri)Hariri
Naibu Waziri wa Elimu , Philipo Mulugo kusimamia mtihani wa #neshino katika mkoa wa Dar Es Salaam (Source Uhuru )(Bila tafsiri)Hariri
@lifeofmshaba @JohnKomakoma @piusmicky @Tanganyikan TATIZO NI JINSI GANI HIZO HESABU ZINAFANYIKA, KUSHADE CORRECT ANSWER, NI KIPIMO SAHIHI?(Bila tafsiri)Hariri
#Neshino will feature multiple-answer questions from which canditates are expected to shade correct answer using HB pencils( Daily News)(Bila tafsiri)Hariri
(image) – Na Joachim Mushi,...(Bila tafsiri)Hariri
Ugatuaji (decentralization) wa Baraza la mithani Tanzania (NECTA) wapendekezwa na TAMONGSCO ili kumaliza wizi wa #neshino(Bila tafsiri)Hariri
Waziri wa Elimu Dr. Shukuru Kawambwa kusimamia uchakuchuaji wa #neshino mkoa wa Pwani limeandika Uhuru(Bila tafsiri)Hariri
@lifeofmshaba @JohnKomakoma @piusmicky @Tanganyikan Tatizo ni usimamizi na udanganyifu uliokithiri kwa mtihani wa kushade tutegemee?(Bila tafsiri)Hariri
Makatibu na wakurugenzi wa Wizara ya Elimu kusimamia #neshino katika mikoa tofauti, lengo kudhibiti udanganyifu (Source Uhuru)(Bila tafsiri)Hariri
Mawaziri, wadau wa elimu na wasaidizi wao waandamizi wajitosa kusimamia mtihani wa darasa la saba. Lengo likiwa... http://t.co/b15hKl1e(Bila tafsiri)Hariri