About
Explore
Search
Volunteer
Updates
English
Kiswahili
Kinyarwanda
Log in
/NYEDACO/topic/123240/add_message
: English
Base
English
Nakumbuka siku moja aliyekuwa Raisi wa Msumbiji wakati akiaga Watanzania...kipindi cha Mzee Mkapa alipokuwa akijibu hotuba ya Mkapa(ya Kiingereza) yeye alijibu kwa Kiswahili sanifu alisema huku akicheka."Maendeleo tunayoyafanya Msumbiji tumeiga sera na mipango yote ya Tanzania wakati tukiwa Nachingwea. Sisi Msumbiji ndio tunapaswa kujifunza zaidi kutoka Tanzania". Kwangu mimi nilijisikia aibu sana kama Mtanzania. – Sisi Watanzania kinachotumaliza ni...
(Not translated)
Edit
sihitaji hadithi za rasilimali tulizo nazo, zinaboa tunazijua – Wadau karibuni
I need the stories of the resources we have, we know zinaboa – Recent stakeholder
Edit
Ni kwa sababu hatujiamini.
It is because we are confident.
Edit
@Godlisten Msaki (nyengedi):
(Not translated)
Edit
watanzania tulio wengi ni mabigwa na wataalamu wazuri wa mawazo hasa wanasiasa wetu ila tatizo linapokuja pale inapofikia utekelezaji ndio mbinde ukitaka kuamini hilo angali kipindi cha uchaguzi kinapofia uambiwa maneno matamu na yakutia moya hata kama ulikuwa huna haja ya kupiga kura utahamasika mwenyewe kwenda kupiga kura. si hivyo tu kama mfuatiliaji mzuri kipindi cha majadiliano au utoaji wa muswada bungeni mawazo yanatoka mazuri na yakutia moyo ila sasa inapokuja kwenye utekelezaji...
Tanzanians who are many are champions and professionals masters of thought, especially our politicians, but the problem comes when when it comes to implementing the mbinde you want to believe it still an election period kinapofia the befell the words sweet and yakutia heart even if you have no need to vote you motivated yourself to go to vote. not merely as a good observer of the discussions over the provision of the bill through parliament and yakutia good ideas come from the heart, but...
Edit
Kwanini watanzania tulio wengi ni masikini hata wa mawazo.
Why are Tanzanians who are many are poor, even of thought.
Edit