Injira

/nvrf/topic/123237/add_message: Kinyarwanda: dMNCmot8dRiz5pbUOMftUOZT:content

« Inyuma   ·   Ahakurikira »
Base (Igiswayire) Kinyarwanda
Watanzania wote

Tuelewe kitu kimoja ufumbuzi sio kubadilisha mawaziri kwani watakao badilishwa ni wale wale baada tu ya kubadilisha wafuatwe na mali zao zote ziporwe zirudishwe serikalini kwani mtu kama Ngeleja ukisimamisha leo unajisumbua bure ana vitega uchumi kibao tuangalie mbele zaidi hata wapinzani hawakuwa waadilifu mfano ni Dogo Zotto gari la Thamani kubwa kama Hummer amelinunua kwa fedha gani mshahara wa ubunge au????????????? swali kubwa sasa suluhisho hapa ni katiba Mpya tu basi. NA KWENYE KATIBA NAOMBA JAMBO HILI LIWEKWE KWAMBA MBUNGE AKIPEWA JIMBO AKATOA AHADI ASIPOZITIMIZA BAADA TU YA MUDA WAKE KWISHA ANAPORWA ALICHO VUNA KIPINDI CHA UBUNGE WAKE.



By
Peter kiangi
(Not translated)

Kugirango ugire icyo uhindura kubyo wasemuye, ugomba kwinjira mu rubuga Injira · Iyandikishe