Fungua

/anppcantzchapter/topic/123265: Kiswahili: dMnjNzqnfi719duXDbK5dl0S:content

« Iliyotangulia   ·   Ifuatayo »
Asili ((unknown language)) Kiswahili
Adhabu zinaweza zikasaidia japo pia kama ingewezekana kwaelimisha watu juu ya hivi vitu,ikiwa ni pamoja na madhara yake kwa wanaofanyiwa vitendo hivi,pia kwa wanaofanya vitendo hivi waelimishwe kuhusu njia nyingne wanazoweza kuzitumia kukidhi haja zao pia wajue matatzo wanayowasababshia hao watendewa na juu ya maadili kwa ujumla.....(elimu kwa ujumla itolewe kwa watu) maana huyu anaweza kua si mtu wa kwanza kupatiwa adhabu ya hiv lakin bado kunarpotiwa vtendo vya aina hii,,,,labda tujarb hili
(Bila tafsiri)

Ili kuhariri tafsiri, lazima ufungue. Fungua · Jiandikishe