Injira
African Network for the Prevention and Protection Against Child Abuse and Neglect

African Network for the Prevention and Protection Against Child Abuse and Neglect

Dar es salaam, Tanzania

Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Icyongereza. Edit translations

Una maoni gani dhidi ya ongezeko la vitendo vya unyanyasaji wa kingono(Ulawiti) kwa watoto wa kike na kiume, je adhabu zinazotolewa zinakidhi? nini kifanyike

ANPPCAN TANZANIA CHAPTER
25 Kamena, 2012 at 12:53 EAT (edited 25 Kamena, 2012 at 13:03 EAT)

Mfano ulio hai huu hapa chini;

JELA MIAKA 30 KWA KULAWITI MTOTO WA KIUME.

Mkulima wa kijiji cha Ihanja jimbo la Singida Magharibi, Samweli Simon(22), ameukumiwa kifungo cha miaka 30 jela baada ya kukiri kosa la kumlawiti kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 9

Awali mwendesha mashitaka, Magafu alidai mahakamani hapo kuwa juni 12 mwaka huu katika muda ambao haujafahamika, mshitakiwa Simoni alimlawiti mvulana huyo mdogo ( jina limeifadhiwa ) na kumsababishia maumivu makali sehemu yake ya kutolea haja kubwa.

Mwananchi, Alhamisi juni 21, 2012.

ANPPCAN TANZANIA CHAPTER
25 Kamena, 2012 at 12:58 EAT

The media are key stakeholders in advocating for child rights and we therefore value your contribution and look forward to continue working together!

[Ubutumwa urabusibye]
Prisca edward (Iringa)
12 Nyakanga, 2013 at 00:56 EAT
Adhabu zinaweza zikasaidia japo pia kama ingewezekana kwaelimisha watu juu ya hivi vitu,ikiwa ni pamoja na madhara yake kwa wanaofanyiwa vitendo hivi,pia kwa wanaofanya vitendo hivi waelimishwe kuhusu njia nyingne wanazoweza kuzitumia kukidhi haja zao pia wajue matatzo wanayowasababshia hao watendewa na juu ya maadili kwa ujumla.....(elimu kwa ujumla itolewe kwa watu) maana huyu anaweza kua si mtu wa kwanza kupatiwa adhabu ya hiv lakin bado kunarpotiwa vtendo vya aina hii,,,,labda tujarb hili

Andika ubutumwa

Tumira abandi mu kiganiro