Log in

/cvtdom/post/102813: English

BaseEnglish
Ni hoja njema sana. Hii itapanua uelewa na ushiriki mpana wa kila MTU kwenye ujenzi wa taifa kwani lugha ya ishara itasambaa maeneo mengi na kusaidia watu wenye tatizo la usikivu.(Not translated)Edit
safi sana wadau wazo lenu liko sawa, tukopamoja.(Not translated)Edit
Hongereni Sana lakini nami naomba niulizeJe huwa Kuna vifaa cya usikivu vya msaada vinapatikana?wapi KWA hapa Dodoma?(Not translated)Edit
Ilikuwakomboa viziwi ni lazima lugha ya ishara iingizwe katika mtaala wa elimu,(Not translated)Edit
Ndio, huo ni mwanzo mwema kuelekea Tanzania yenye kujumuisha na kujali haki ya kila raia bila kujali hali yake(Not translated)Edit
chavita tawi la mkoa wa Dodoma limezindua program ya mafunzo ya lugha za alama katika maeneo yafuatayo: UDOM, TCf, SAFINA KITUO CHA WATOTO YATIMA DOM na ST JOHN UNV DODOMA program hiyo ni ya miaka miwili kwa mujibu wa idara ya lugha ya alama chavita tawi la mkoa wa dom. mratibu wa mradi huo mr YUSUF MLOLI ambae ni mwenyekiti alisema na kuongeza kuwa mpango huo utasaidia na kuifanya jamii ya wakazi wa dom kuwatambua na kuwashirikisha viziwi kikamilifu katika mipango ya...CHAVITA branch of Dodoma Region has launched a program to train language scores in the following areas: UDOM, TCF, an orphanage Ark DOM and ST JOHN DODOMA UNV program is two years in accordance with the department of sign language CHAVITA branch dom province. project coordinator Mr Yusuf crime, who is the chairman said, adding that the deal will help to make the community of residents identifying and involving deaf dom fully into development planning and national city...Edit