1.UTAWALA BORA – Lit Life kwa kutambua umuhimu wa utawala bora katika kupunguza umasikini tumekuwa na mradi wa kuwajengea uwezo viongozi wa vijiji katika kupunguza migogoro ya ardhi kati ya wakulima na wafugaji katika wilaya Mvomero kwenye kata za mtibwa, kanga na diongoya. – Mradi huu tumeufanyia utafiti yakinifu tayari na kukusanya takwimu zinazohitajika na tutaanza utekelezaji wake hapo Augost. – 2. UUNDWAJI WA KATIBA MPYA. – Kwa kuwa... | (Bila tafsiri) | Hariri |