Log in

/ikwabe/projects: English: WI0001DF996626C000007167:content

« Previous   ·   Next »
Base (Swahili) English

1.UTAWALA BORA

 Lit Life kwa kutambua umuhimu wa utawala bora katika kupunguza umasikini tumekuwa na mradi wa kuwajengea uwezo viongozi wa vijiji katika kupunguza migogoro ya ardhi kati ya wakulima na wafugaji katika wilaya Mvomero kwenye kata za mtibwa, kanga na diongoya.

Mradi huu tumeufanyia utafiti yakinifu tayari na kukusanya takwimu zinazohitajika na tutaanza utekelezaji wake hapo Augost.

2. UUNDWAJI WA KATIBA MPYA.

Kwa kuwa asasi ya yetu ni mdau katika kuhakikisha wananchi wanafikiwa na kutoa maoni yao juu ya katiba mpya, asasi tumekuwa na mradi wa kuwajengea uwezo vijana katika kutambua umuhimu wao kuhusika katika maoni ya mabadiliko ya katiba kwa kuwa 40% ya watanzania ni  vijana.

Hivyo wanaharakati wote tuliangalie jambo hili kwa umakini sana kuhakikisha watanzania wengi wanafikiwa na kutoa maoni yao hasa wale walio vjijini kwani ndio wengi na hawatambui mabadiliko yoyote yanapotokea kwani mambo mengi yanaishia mijini.

3. TEKNOLOJIA YA MAWASILIANO

Asasi yetu imekuwa ikiendesha mradi wa tekinolojia ya habari na mawasiliano kwa kuwajengea uwezo vijana wa kuanzia umri wa miaka 12 - 30 kwa kuwapatia mafunzo ya computer kwa lengo la kuwaandaa kuutumia mkonga wa kitaifa hapo utakapokamilika mwakani. Mradi huu tunautekeleza katika kata ya Mtibwa wilaya Mvomero katika shule ya msingi Mtibwa iliyopo katika mji mdogo wa Madzini.

4.MAZINGIRA

Aasasi yetu katika kuhifadhi mazingira tumekuwa na mradi wa kuwahamasisha waoteshaji wa miti na wananchi wanaoishi katika maeneo yaliyo katika vyanzo vya maji kuotesha miti kwa lengo la kuhifadhi uotoo wa asili. Ambapo zaidi ya miti ipatayo 13,000 imeoteshwa katika kipindi cha mwaka mmoja katika tarafa ya Turiani inayozungukwa na milima ya unguu, pia zaidi ya vikundi 30 vya waoteshaji miti vimeanzishwa na ni endelevu chini ya mradi wa ANZISHA MSITU WAKO (AMWA)

Hivyo wapendwa wanaharakati tunaomba ushirikiano kwani kuna changamoto nyingi katika kutekeleza miradi hii ikizingatiwa mingi tunajitolea kwa kuwa hatuna uwezo wa kutosha kifedha.

1.UTAWALA BEST

Life lit by recognizing the importance of good governance in poverty reduction have been the project of building the capacity of rural leaders in reducing land disputes between farmers and pastoralists in the district in the county of Mtibwa Mvomero, cloth and diongoya.

This project we are carrying out research study prepared by collecting the data needed, and we will begin implementation at Augost.

2. Creation of a new constitution.

For institutions of us are stakeholders in ensuring people are reached and provide their views on the new constitution, institutions have been the project of building the capacity of young people in recognizing the importance of their involvement in view of changing the constitution to be 40% of Tanzanians are young.

So all the activists were considering this matter very seriously to ensure they are reached by most Tanzanians give their opinions, especially those who are most and vjijini because they are unaware of any changes as they occur much yanaishia cities.

3. COMMUNICATIONS TECHNOLOGY

Our organization has been undertaking a project of technology information and communication capacity building of youth from age 12-30 to provide computer training for the purpose of preparing to use the national trunk when completed next year. This project we play in the county of Mtibwa Mvomero district in a primary school located in a small town Mtibwa of Madzini.

4.MAZINGIRA

Aasasi us in preserving the environment we have a project to encourage waoteshaji the trees and the people who live in areas that are the sources of water to grow trees for the purpose of preserving the natural uotoo. Where more than 13,000 trees around imeoteshwa in the past year in the regions of Turiani unguu inayozungukwa and mountains, also more than 30 groups of trees waoteshaji been established and is sustained under YOUR reforestation project (suck)

So we ask dear activists there are many challenges for cooperation in implementing these projects given the many volunteers that we have no sufficient financial capacity.


In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
June 4, 2011
1.UTAWALA BEST – Life lit by recognizing the importance of good governance in poverty reduction have been the project of building the capacity of rural leaders in reducing land disputes between farmers and pastoralists in the district in the county of Mtibwa Mvomero, cloth and diongoya. – This project we are carrying out research study prepared by collecting the data needed, and we will begin implementation at Augost. – 2. Creation of a new...