| SAVE MY TALENT KUTEMBELEA MIKOA MITANO YA TANZANIA BARA – Ikiongozwa na mkurugenzi mtendaji mr Alexander Lema,kutakua na ziara ya kutembelea mikoa mitano ya Tanzania bara,lengo kuu ni kuchunguza na kufanyia utafiti vipaji mbalimbali vilivyojificha katika mikoa hiyo,vipaji vitakavyochunguzwa na kuibuliwa ni vya aina zote,pamoja na muziki,mpira,uigizaji uchoraji na michezo mingine ya ajabu katika jamii ambayo mtu anaweza kuanayo kama sehemu moja ya kipaji... | (Not translated) | Hindura |