Envaya

/OLAI/news: English: WImOHhUIo17drzBW6LEClpi2:content

Base (Swahili) English

large.jpg

Ni ndg. Hassan Luheko Mnaute, kiongozi wa OLAI, akisisitiza jambo la mwezeshaji katika mkutano wa hadhara wa uhamasizaji Ndg. Feruz kutoka idara ya ardhi ya wilaya Tandahimba, kuhusu kuizingatia sheria 5 ya ardhi ya vijiji ya mwaka 1999 katika kijiji cha Nachunyu kilichopo wilayani Tandahimba, mkoani Mtwara - Tanzania.

(Not translated)

In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register