Base (Swahili) |
English |
Tawa inaendelea na mapambano dhidi ya VVU/Ukimwi kwa wasichana wanaofanya biashara ya ngono kwa kuawelimisha matumizi sahihi ya kondom ya kike (Lady pepeta) na kuzisambaza ili walengwa wasipate maambukizi mapya ya ukimwi.Tumeamua kutoa elimu hii katika mkoa wa Dar es salaam na wilaya zake ili kunusuru kundi hili ambalo linazidi kuongezeka siku hadi siku.Kampeni hii imeanza Mkoa huu na baadae itaendelea Tanzania nzima katika mikoa inayoonekana ni tishio kwa maambukizi ya ukmwi kama vile Iringa,Mbeya, Arusha ,Mwanza na mikoa mingine
|
Tawa continues the fight against HIV / AIDS for girls who trade sex for kuawelimisha proper use of the female condom (Lady sift) and distributed to beneficiaries from becoming infected with the HIV mwi.Tumeamua provide this education in Dar es Salaam and the district its to save this group that keeps growing day by this .Kampeni I started this and subsequent Province will continue throughout Tanzania in the visible region is a threat to ukmwi infection such as Iringa, Mbeya, Arusha, Mwanza and other regions
|