Log in

/tou/history: English: WIK3yUcv7vyYQJVfYpEAWzrs:content

« Previous   ·   Next »
Base (Swahili) English

HISTORIA YA ASASI YA TUSHIKAMANE ORGANIZATION

Asasi ya Tushikamane Organization ilisajiliwa rasmi tarehe 29/6/2011 na kupata usajili 00004721 katika wizara ya maendeleo ya Jamii,Jinsia na Watoto na kufanya kazi katika mikoa yote Tanzania Bara.

Asasi ina jumla wanachama waanzilishi 34,wanawake w16 na wanaume 18.Makao makuu ya asasi yapo Kijiji cha Kikundi Morogoro Vijijini.asasi imeweza kupanua wigo wa wadau wake wa maendeleo ambao inashirikiana nao katika kuhamasisha maendeleo ya jamii ni pamoja na Umoja wa mashirika yasio ya kiserikali mkoa wa Morogoro(UNGO) na MONGONET.

Asasi iliweza kupata ruzuku kutoka The foundation for Civil Society kwa ajili ya kuwawajengea uwezo wanachama na viongozi.Ruzuku hiyo imepatikana mapema mwaka huu.

 

HISTORY OF THE INSTITUTIONS OF ORGANIZATION join

Civil Organization was registered officially join on 06.29.2011 and registration 00004721 of the Ministry of Community Development, Gender and Children and work in all regions in Tanzania Mainland.

Organization has total 34 founding members, women and men w16 18.Makao are major institutions Village Vijijini.asasi managed to Morogoro Group to expand its development partners who collaborate with them in promoting social development include Union NGO Morogoro region (solid) and MONGONET.

Organization was able to get a grant from The Foundation for Civil Society kuwawajengea for potential members and viongozi.Ruzuku that found earlier this year.


In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
December 6, 2012
HISTORY OF THE INSTITUTIONS OF ORGANIZATION join – Civil Organization was registered officially join on 06.29.2011 and registration 00004721 of the Ministry of Community Development, Gender and Children and work in all regions in Tanzania Mainland. – Organization has total 34 founding members, women and men w16 18.Makao are major institutions...