
SAWATA MARA baada ya kutoa semina juu ya Sera ya Taifa ya Wazee, Ujasiriamari na Sheria Na.1 ya mwaka 2001, ya mfuko wa bima ya Afya ya jamii iliyotolewa katika kijiji cha Mwibagi Kata ya Kyanyari, kwa ufadhili wa "The Foundation For Civil Society" Dar-es-salaam, Tanzania. Semina hii ilitolewa mwezi Agosti, 2011. Na uundaji wa mabaraza ya wazee kwa ngazi ya kijiji na Kata. Vivyo hivyo, Mabaraza haya, yaliundwa katika vijiji mbalimbali kwa Kata nne za Bukima, Nyambono, Kyanyari na Bwiregi, katika kipindi cha Agosti, 2011 hadi Oktoba, 2011.
|

SAWATA MARA after giving a seminar on the National Policy for the Elderly, Ujasiriamari and Law No.1 of 2001, to fund community health insurance issued in the village of Mwibagi Kyanyari County, with funding of "The Foundation for Civil Society "Dar-es-Salaam, Tanzania. This workshop was released in August, 2011. And the creation of councils of elders in the village and ward levels. Similarly, these councils, were established in various villages in Ward Four Bukima, Nyambono, Kyanyari and Bwiregi, in the period August 2011 to October, 2011.
|