Asili (Kiswahili) |
English |

Wazee baada ya kupata semina juu ya Sera ya Taifa ya Wazee, Ujasiriamari na Sheria Na.1 ya mwaka 2001, ya mfuko wa bima ya Afya ya jamii iliyotolewa katika kijiji cha Nyambono Kata ya Nyambono, kwa ufadhili wa "The Foundation For Civil Society" Dar-es-salaam, Tanzania. Semina hii ilitolewa mwezi Agosti, 2011. Vile vile ilitolewa katika Kata za Bukima, Kyanyari na Bwiregi, kwa ushirikiano na wataalam wa Halmashauri ya wilaya ya Musoma vijijini.
|

Elders after getting a seminar on the National Policy for the Elderly, Ujasiriamari and Law No.1 of 2001, a package of social health insurance issued in the village of Nyambono Nyambono County, financed by "The Foundation for Civil Society" Dar-es-Salaam, Tanzania. This workshop was released in August, 2011. Also released in the County of Bukima, Kyanyari and Bwiregi, in collaboration with experts of Council of Musoma rural district.
|